Mnazipendea nini hidden roof house?

Nyumba ya aina hii usijenge kama una hela ya mawazo...... utanishukuru
wenye hela za mawazo wengi wanakimbilia kujenga hizi kupunguza gharama ila baadae gharama zinazidi.
Lazima jicho limtoke na unakuta hajui kweli.
Nmecheka ila nimemuonea huruma mwenye nyumba, nyumba za hivyo zipo nyingi tu nyumba nzuri ila ndani kipindi cha mvua hakukaliki. Hapo labda ampangishie wa kuja asiejua kusoma mazingira na kipindi cha mvua ni ugomvi na mpangaji.
 
Utofauti wao ni upi hasa kwenye gharama mpaka nyumba kukamilika?
 
Utofauti wao ni upi hasa kwenye gharama mpaka nyumba kukamilika?
Mkuuu kwanza inabidi uende kiwandani halafu unachagua unachotaka yaani kila kitu mpaka tiles
Gharama zinapishana ila gharama za kusafirisha na mitambo mikubwa ya kunyanyua hizo panels zote na kama ni gorofa moja ndio zaidi

Ila watu wanajenga za hivyo na ni nzuri sana na haraka
Zipo za ghali sana Kama za vioo vitupu au eco friendly homes hizo ziko juu zaidi

Natamani kujenga eco home na kujitegemea kila kitu hata maji yajisafishe na kutumika tena
 
Injinia umefunguka vyema kabisa, hapo kwenye Note fafanua zaidi kuna kitu kama nimeelewa hivi alafu kama sijaelewa.
Swali, hivi huwezi kumuwajibisha fundi kwa ishu kama hii?
 
Nmekuelewa shukrani mkuu.

Kama uchumi unaruhusu jenga mkuu.
 
Wamekaa kipigaji zaidi, akipata kazi anachowaza ni namna gani ampige boss kubwa.
 
Vitu kama hivi lazima uweke, kati ya bati na ukuta. Wengi wanachimbia tu bati linaingizwa kwa ndani, anasema cement kali inatosha, anachanganya na waterproof akidhani inatosha. Lazima uchezee dimbwi la maji ndani
View attachment 2806157
Fundi maiko hapo atakwambia usijali hilo niachie mimi kila kitu kitaenda sawa. Kuna ulazima gani wa kukubali kufanya kazi ambayo fundi anajua kabisa hawezi na ataiharibu
 
Pole saña
 
Injinia umefunguka vyema kabisa, hapo kwenye Note fafanua zaidi kuna kitu kama nimeelewa hivi alafu kama sijaelewa.
Swali, hivi huwezi kumuwajibisha fundi kwa ishu kama hii?
NIlimaanisha kuwa contemporary unapoijenga hakikisha una mshauri kuanzia mwanzo na usitenganishe ulete fundi wa kujenga boma then baadae utafute wa roofing.

Hakikisha una msimamizi wa nyimba yako kama mshauri atakayehakikisja mchoro unafuatishwa bila kukosewa:.

Note: si kila mchoraji ili mradi anachora aweza kuku-dizainia nyumba hizi.

Zinahitaji mchoraji profesheno....najua hutanielewa tena.
Nakosa lugha rahisi zaidi
 
Hizo sio nyumba za maskini,kama una kipato Cha kuunga unga usiende huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…