Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ukiachana na mafundi mangungu,hizo nyumba ni stylish sana natamani nipate kibaraza kimoja juu Cha kunywea cappuccinoSahihi kabisa, maandalizi ya roofing ya contemporary yanafanyika wakati wa design ya nyumba, ukianza kuweka tofali tayari unajua roofing itakuwaje. Otherwise unatengeneza bomu.
Ukidesign vizuri na ukaacha ubahili wako😅 wakati wa ujenzi unapata kitu bora sana. Ila usimamizi mkubwa unahitajika, hasa kwa hawa mafundi wetu.Ila ukiachana na mafundi mangungu,hizo nyumba ni stylish sana natamani nipate kibaraza kimoja juu Cha kunywea cappuccino
Sio mbaya kumpa contractor akusimamie kazi Yako mwanzo mwisho,hii ya kubadilisha mafundi ndio Ile nayo Ina leta shida mwishoni ,ni vile tu hela zenyewe sometimes tunaungaungaHumu kila fundi sio fundi maiko muite uone,,,,
Nilichoona kwenye ujenzi kila fundi anamkosoa mwenzie unakuta umejenga nyumba ukamtumia fundi mmoja hadi kwenye lenta ukichukua mwingne cha kwanza anaanza kukosoa kazi ya mwenzie
Maana ya kumkosoa mwenzie ili umuone yeye anajua kuliko mwingine mwisho wa siku nayeye anatengeneza atakapoishia ukichukua mwingne anamkosoa alopita
Mafundi ni pasua kichwa sanah
Ila zinatumia 75% or less ya bati utakazotumia ukiezeka kawaida. Nyumba kwa ujumla ili ipendeze inahitaji finishing nzuri.Sijawahi kuzipenda hizo nyumba , kwanza zinahitaji finnishing ya hela nyingi sana
🤣🤣🤣Ubahili nao tatizo..Ukidesign vizuri na ukaacha ubahili wako😅 wakati wa ujenzi unapata kitu bora sana. Ila usimamizi mkubwa unahitajika, hasa kwa hawa mafundi wetu.
Contractor anafanya budget inakuwa kubwa ila anakupa kitu kizuri coz usimamizi unakuwa wa kuaminika. Unaweza ku-opt engineer/site foreman mwenye mishe zake akusaidie usimamizi kwa gharama za kizalendo. Anakuja asubuhi, anawaelekeza mafundi na kusepa zake, mchana anakuja kukagua kazi..like that. Ila full time contractor ujipange.Sio mbaya kumpa contractor akusimamie kazi Yako mwanzo mwisho,hii ya kubadilisha mafundi ndio Ile nayo Ina leta shida mwishoni ,ni vile tu hela zenyewe sometimes tunaungaunga
Huwezi kutumia fundi mmoja nyumba nzima kuna mambo mengi mfano wa kuanzisha boma hawezi kupaua na kuna wengine wa kupaua hawezi kugonga batiSio mbaya kumpa contractor akusimamie kazi Yako mwanzo mwisho,hii ya kubadilisha mafundi ndio Ile nayo Ina leta shida mwishoni ,ni vile tu hela zenyewe sometimes tunaungaunga
Ni Kweli Huwezi mtumia fundi mmoja kwenye nyumba nzima,maana kila mmoja ana utaalam wake,lakini kumbuka kutumia contractor faida yake Ile ni team Moja,tofauti na Ile mchimba msingi katokea kibada,mpandisha boma katoka bahi, roofing kafanya sijui nani,,yaani nyumba ikishakuwa na mikono mingi kasoro hazikwepiki japo sijasema ukimpa contractor ndio itakuwa 100perc perfect.Huwezi kutumia fundi mmoja nyumba nzima kuna mambo mengi mfano wa kuanzisha boma hawezi kupaua na kuna wengine wa kupaua hawezi kugonga bati
Hata ukimtumia contractor kukosoana kupo pale pale kiufupi nyumba hadi inaisha ikawa na kasoro ndogo mshukuru Mungu
Basi hata huyo foreman atafaa Kikubwa usimamizi tupate kitu boraContractor anafanya budget inakuwa kubwa ila anakupa kitu kizuri coz usimamizi unakuwa wa kuaminika. Unaweza ku-opt engineer/site foreman mwenye mishe zake akusaidie usimamizi kwa gharama za kizalendo. Anakuja asubuhi, anawaelekeza mafundi na kusepa zake, mchana anakuja kukagua kazi..like that. Ila full time contractor ujipange.
Sawa mkuuMtoto mdogo yule haniwezi
Binafsi najua hivyo pia ni nzuri kwa sehemu zenye upepo mkali.sizipendi hata kuziona,naonaga ni nyumba za kiarabu na jangwani. na ndio asili yake huko. huko jangwani kuna upepo, hawaweki roof wakiogopa upepo utaanua.
Mafundi wapo sikatai ila wengi hawana uwezo wa kufanya kazi yenye ubora unaohitajika.Tafuta pesa na mafundi wapo ndio kazi zao hz.
Tena mafundi kweli kweli sio POA.
Sawa kiongozi.kazi ni kipimo Cha utu
wanafanya kazi kwa mazoea na wengi hawapendi kujifunza kabisa.Bongo nyoso. Mafundi wa nyumba Bongo mbona wanahesabika! Niamini nachokuambia. Asilimia kubwa ya mafundi ni vilaza na asilimia kubwa ya nyumba ziko chini ya kiwango.
Nayo n sababu ila kuna nyingine zege ipo ila bado zinavujaHao hawaweki zege badala yake wanatumia mabati ndio maana zinavuja
Sijaelewa paragraph ya mwisho, nyumba inajengwa huko inakuja kufungwaje huku? Au ni vyuma tu?Naona wqnatandika majamvi na magunia juu halafu wanapaka rangi
Mbona nchi zingine zipo sana na mvua zinanyesha kama kwenu?
Ujanja ujanja mwingi waswahili ndio maana wanalalamika ooh kwanini eti usalama 😄 hawadhibiti bidhaa za Kenya
Wajerumani wanatengeneza nyumba kiwandani wewe wanakupakilia kwenye meli au malori unakuja kufungiwa kila kitu
Kama unavyofungiwa boda.
Pole sana mkuu acha inyeshe tuone panapovujaHuu uzi ni kama umenilenga mimi,lakini kwa kua ulikua ujenzi wangu wa Kwanza sijilaumu nimejifunza.
Lakini Kamwe sitojenga Dream House nifanye Hidden Roof, ukweli ni heri umwage Slab huko juuu kama wewe shida ni hutaki kuona BATI.
Lakini kujenga hidden roof tusidanganyane hizi nyumba za hivi si za kuishi mwanadamu ni special kwa wanyama wafugwao.
Aseee nimefumua Gypsum zote kwasababu zimeloa zimeshuka chini, hii hasara sitoisahau ila nimekoma na sirudiiii.
Hata uje uniambie wewe ni fundi uliebobea umesomea chuo bora duniani cha ufundi, Hunishawishi kuhusu Hidden Roof nikakuelewa.
Mafundi bado ni kizungumkuti kwenye style hiiKwa uzoefu wangu mdogo nilioupata katika kusimamia ujenzi,
Huyu style inakula bati chache, tofauti na migongo ya tembo.
Ni style nzuri sana ukimpata fundi mzuri,,
Ila fundi wa kuunga unga ni hatari.
Mafundi ni kipengeleUjenzi unahitaji 'ufahamu' wa mambo, sio ukanjanja. Mafundi wengi hawana ufahamu wa mambo mengi sana, kwenye ujenzi unahitaji kupata ufahamu kabla ya kufanya lolote.
Kibongo bongo fundi baadhi ya mafundi bila kukuibia kazi haiendi kabisa, na ukiwa ukauki site ndio watafanya hata kusudi upate loss 😂Mtu anakuwekea bati badala ya zege ushaona wapi 😁 hii style ipo duniani kweli!! Kama ushawahi kufika nchi za kiarabu wanatumia zege, tena ya uhakika acha za huku kwetu uchanganyaji wa cement/kokoto ni majanga, mara uibiwe cement na nondo dah 😁 japo sio wote wenye hiyo tabia mbaya
Ni prefab au prefabricated housesSijaelewa paragraph ya mwisho, nyumba inajengwa huko inakuja kufungwaje huku? Au ni vyuma tu?
Pole sana mkuu acha inyeshe tuone panapovuja
Mafundi bado ni kizungumkuti kwenye style hii
Mafundi ni kipengele