MNEC Haji Jumaa ambomoa Dkt. Bashiru Ally

Legacy ya ufisadi wa mali za nchi!
 
Nilitakaga kukuunganisha kazi Ila baada ya ya kupitia thread zako na reply nikakimbia mbio zote
 
Nilitakaga kukuunganisha kazi Ila baada ya ya kupitia thread zako na reply nikakimbia mbio zote
 
Usiwaaamini CCM ndugu yangu, CCM sio watu wa kuamini kabisa maana huyo huyo MNEC was part and parcel ya huo uozo ila ukimwambia anakua mkali
 
Usiwaaamini CCM ndugu yangu, CCM sio watu wa kuamini kabisa maana huyo huyo MNEC was part and parcel ya huo uozo ila ukimwambia anakua mkali
Wanajali sana matumbo yao na wako tayari kuua ili miradi kutimiza azma yao ya kujinufaisha!
 
Wengine wanaona aibu hata kuongea
 
Wengine wanaona aibu hata kuongea
Ila hakuna watu wanafiki kama viongozi wajuu wa chama, yaani over sudden wamebadilisha kauli zao na kuanza kuona udhaifu wa kile walichokisimamia awamu iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…