Mngetumia nguvu za kuwapangia wanafunzi jinsi ya kutumia boom lao kuhakikisha wanaostahili wanapata mkopo 100% (au kusoma bure) tungewaona wa maana

Mngetumia nguvu za kuwapangia wanafunzi jinsi ya kutumia boom lao kuhakikisha wanaostahili wanapata mkopo 100% (au kusoma bure) tungewaona wa maana

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Salaam Wakuu,

Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu?

Pia soma kauli nyingine za wabunge kuhusu boom:
Mna uhakika kuwa wanafunzi wote wanatumia boom kubetia, kwenda club au kupombeka kama mnavyowalebo?

Mkopo wenyewe unatolewa kwa dhulma, wengi wanaostahili wanapata 40%, 20% na wengine wanakosa kabisa.

Tukumbuke Boom ni pesa ya kujimu, ambayo ni kwaajilinya chakula na matumizi mengine madogo madogo ya mwanafunzi.

Hili Boom ndio linawasaidia baadhi ya wanafunzi kukamilisha sehemu ya ada ambayo mkopo haukukamilisha, kutokana na uzembe wenu mnaofanya wa kugawa mikopo kwa kujuana. Yaani serikalini kila sehemu ni upigaji, kia sehemu ni wizi na rushwa.

Baada ya kupiga kilele na kushupaza mishipa kuhakikisja kila mwanafunzi anayestahili anapata mkopo 100%, au wasome bure kabisa mnakuja kuongelea mambo ya kipuuzi. Hata wanafunzi wanao wanastahili kupumzika na kupumzisha akili zao, haimaanishi wao ni mashine 24/7 wapo na vitabu tu.

Embu tupunguzieni wadau kutokwa na mapovu mfanye mambo ya maana huko bungeni.

Tunawalipa mishahara minono na posho juu halafu mnaenda kufanya ujinga tu. Shame on you.

Posho zenu na mishahara inaishia kuwalipa machawa na watu wa kuwasafisha mitandaoni (Lucas Mwashambwa nakusalimu Mkuu) mmeona wananchi tukiwapigia kelele juu ya matumizi yenu? Kwanza zipunguzwe tu, mnatutia hasara tu walipa kodi, hatuoni faida ya uwekezaji wetu!
 
Achana nao kwani kisa kucheza aviation au huu ni mtaji tu kama bodaboda Tena Kuna cash out kabla abiria hajafika unaghairi na ela unabeba
 
Salaam Wakuu,

Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu?

Pia soma kauli nyingine za wabunge kuhusu boom:
Mna uhakika kuwa wanafunzi wote wanatumia boom kubetia, kwenda club au kupombeka kama mnavyowalebo?

Mkopo wenyewe unatolewa kwa dhulma, wengi wanaostahili wanapata 40%, 20% na wengine wanakosa kabisa.

Tukumbuke Boom ni pesa ya kujimu, ambayo ni kwaajilinya chakula na matumizi mengine madogo madogo ya mwanafunzi.

Hili Boom ndio linawasaidia baadhi ya wanafunzi kukamilisha sehemu ya ada ambayo mkopo haukukamilisha, kutokana na uzembe wenu mnaofanya wa kugawa mikopo kwa kujuana. Yaani serikalini kila sehemu ni upigaji, kia sehemu ni wizi na rushwa.

Baada ya kupiga kilele na kushupaza mishipa kuhakikisja kila mwanafunzi anayestahili anapata mkopo 100%, au wasome bure kabisa mnakuja kuongelea mambo ya kipuuzi. Hata wanafunzi wanao wanastahili kupumzika na kupumzisha akili zao, haimaanishi wao ni mashine 24/7 wapo na vitabu tu.

Embu tupunguzieni wadau kutokwa na mapovu mfanye mambo ya maana huko bungeni.

Tunawalipa mishahara minono na posho juu halafu mnaenda kufanya ujinga tu. Shame on you.
Wanajadili upande hasi tu wa boom, lakini wanasahau kwamba huo upande hasi umetokana na wao kuwapa wasiostahili kupewa. Unampa mtu mkopo na huku familia yake ina uwezo wa kumhudumia na wanamuhudumia, unategemea hiyo ziada anayoipata sasa ataipeleka wapi?
 
Salaam Wakuu,

Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu?

Pia soma kauli nyingine za wabunge kuhusu boom:
Mna uhakika kuwa wanafunzi wote wanatumia boom kubetia, kwenda club au kupombeka kama mnavyowalebo?

Mkopo wenyewe unatolewa kwa dhulma, wengi wanaostahili wanapata 40%, 20% na wengine wanakosa kabisa.

Tukumbuke Boom ni pesa ya kujimu, ambayo ni kwaajilinya chakula na matumizi mengine madogo madogo ya mwanafunzi.

Hili Boom ndio linawasaidia baadhi ya wanafunzi kukamilisha sehemu ya ada ambayo mkopo haukukamilisha, kutokana na uzembe wenu mnaofanya wa kugawa mikopo kwa kujuana. Yaani serikalini kila sehemu ni upigaji, kia sehemu ni wizi na rushwa.

Baada ya kupiga kilele na kushupaza mishipa kuhakikisja kila mwanafunzi anayestahili anapata mkopo 100%, au wasome bure kabisa mnakuja kuongelea mambo ya kipuuzi. Hata wanafunzi wanao wanastahili kupumzika na kupumzisha akili zao, haimaanishi wao ni mashine 24/7 wapo na vitabu tu.

Embu tupunguzieni wadau kutokwa na mapovu mfanye mambo ya maana huko bungeni.

Tunawalipa mishahara minono na posho juu halafu mnaenda kufanya ujinga tu. Shame on you.
We dogo ebu kuwa na adabu basi, unataka mzee wako akuelezee jinsi alivyompata mama yako na ukazaliwa wewe. Hivi unajua wazee wako wangekuwa na boom kama lako wangenunua dawa za kutolea mimba na mimba yako ingepotelea mbali.
Siku zote binadamu tunatakiwa kukumbushana katika yaliyokuwa mema sasa miongoni mwenu tunawaona mnavyotumia vibaya cent mnazopewa mjikimu vyuoni, hivi we mtoto unajua sie tunavuja jasho we mbwa usome sasa subiri uanze kupata ulizovujia jasho ndio ukabet. We unajua muhindi anawapenda ndio mana anakuwekea odds kubwa ushinde??.
Nyie hapa duniani ni wageni kuliko sie wazazi wenu, na tabu tluizopitia sie hatutaki ziwakute ndio maana tunawaelekeza. Sie wakati tunasoma akili ilikuwa kuajiriwa na sasa ajira hakuna tunawategemea nyie mpate maarifa ya kutengeneza ajira zenu na za wenzenu ambao hawakupata fursa ya kusoma kama nyie. Sasa unaambiwa acha kubet weka fikra zako katika masomo uje kujikwamua unakimbilia kujaza thread JF kupinga usiambiwe, na nyie mnataka kujifunza na makosa yenu. Ebu tumieni mapungufu yetu sie wazazi wenu nyie muwe kama watoto wa China au kwingineko duniani.
 
Kama Elimu inayo tolewa vyuo vikuu Ni ya
EXTENDED HIGH SCHOOL in Jenerali Ulimwengu voice..

Kama Elimu inayotolewa haiwezi kukupa skills za MEASUREMENTS & EVALUATION kwenye Mambo mbali mbali... kama Elimu haiwezi kukusaidia kupambana na maisha yako (environment) Basi Elimu hiyo Ni bure kabisa

NB.
Msambatavangu is wrong, Mara nyingi MTU aki jiingiza kwenye hayo Mambo ya ulevi wa betting na ulevi wa pombe kuacha Ni kazi Sanaa Ie. Wafanyakaz wavivu,wazembe, walevi Mbona wapo
kikubwa Sasa Ni kuwapa MAARIFA kwa wingi kwenye elimu ya DEVELOPMENT STUDIES (DS) waweze kupata merits & dimerts ya kuendekeza kamari wakiwa masomoni.
 
Salaam Wakuu,

Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu?

Pia soma kauli nyingine za wabunge kuhusu boom:
Mna uhakika kuwa wanafunzi wote wanatumia boom kubetia, kwenda club au kupombeka kama mnavyowalebo?

Mkopo wenyewe unatolewa kwa dhulma, wengi wanaostahili wanapata 40%, 20% na wengine wanakosa kabisa.

Tukumbuke Boom ni pesa ya kujimu, ambayo ni kwaajilinya chakula na matumizi mengine madogo madogo ya mwanafunzi.

Hili Boom ndio linawasaidia baadhi ya wanafunzi kukamilisha sehemu ya ada ambayo mkopo haukukamilisha, kutokana na uzembe wenu mnaofanya wa kugawa mikopo kwa kujuana. Yaani serikalini kila sehemu ni upigaji, kia sehemu ni wizi na rushwa.

Baada ya kupiga kilele na kushupaza mishipa kuhakikisja kila mwanafunzi anayestahili anapata mkopo 100%, au wasome bure kabisa mnakuja kuongelea mambo ya kipuuzi. Hata wanafunzi wanao wanastahili kupumzika na kupumzisha akili zao, haimaanishi wao ni mashine 24/7 wapo na vitabu tu.

Embu tupunguzieni wadau kutokwa na mapovu mfanye mambo ya maana huko bungeni.

Tunawalipa mishahara minono na posho juu halafu mnaenda kufanya ujinga tu. Shame on you.

Posho zenu na mishahara inaishia kuwalipa machawa na watu wa kuwasafisha mitandaoni (Lucas Mwashambwa nakusalimu Mkuu) mmeona wananchi tukiwapigia kelele juu ya matumizi yenu? Kwanza zipunguzwe tu, mnatutia hasara tu walipa kodi, hatuoni faida ya uwekezaji wetu!
Mambo ya kipuuzi yanafaa kupuuzwa
 
Acha kubeti mkuu.. Hutakuja kulalamika tena hapa 😁
 
Je hao wabunge hapo Dodoma hiyo mil 18 na posho ya laki sita kila siku je unahisi inawafaa?
 
We dogo ebu kuwa na adabu basi, unataka mzee wako akuelezee jinsi alivyompata mama yako na ukazaliwa wewe. Hivi unajua wazee wako wangekuwa na boom kama lako wangenunua dawa za kutolea mimba na mimba yako ingepotelea mbali.
Siku zote binadamu tunatakiwa kukumbushana katika yaliyokuwa mema sasa miongoni mwenu tunawaona mnavyotumia vibaya cent mnazopewa mjikimu vyuoni, hivi we mtoto unajua sie tunavuja jasho we mbwa usome sasa subiri uanze kupata ulizovujia jasho ndio ukabet. We unajua muhindi anawapenda ndio mana anakuwekea odds kubwa ushinde??.
Nyie hapa duniani ni wageni kuliko sie wazazi wenu, na tabu tluizopitia sie hatutaki ziwakute ndio maana tunawaelekeza. Sie wakati tunasoma akili ilikuwa kuajiriwa na sasa ajira hakuna tunawategemea nyie mpate maarifa ya kutengeneza ajira zenu na za wenzenu ambao hawakupata fursa ya kusoma kama nyie. Sasa unaambiwa acha kubet weka fikra zako katika masomo uje kujikwamua unakimbilia kujaza thread JF kupinga usiambiwe, na nyie mnataka kujifunza na makosa yenu. Ebu tumieni mapungufu yetu sie wazazi wenu nyie muwe kama watoto wa China au kwingineko duniani.
Mkuu, kuwa mstaarabu na ubaki kwenye mada.
 
Acha kubeti mkuu.. Hutakuja kulalamika tena hapa 😁
Nyie ndio mnaotegemewa kupaginia haki za walio chini yenu, baada kuangalia jambo la msingi unaenda comment kwenye ujinga. Halafu mkiitwa vijana wa hovyo mnaanza kulaumu! Siyo kila sehemu ni ya utani🤦
 
Wanajadili upande hasi tu wa boom, lakini wanasahau kwamba huo upande hasi umetokana na wao kuwapa wasiostahili kupewa. Unampa mtu mkopo na huku familia yake ina uwezo wa kumhudumia na wanamuhudumia, unategemea hiyo ziada anayoipata sasa ataipeleka wapi?
Kweli kabisa, halafu anayestahili anapata 10%... baada waongelee mambo ya maana wanakalia vitu ambavyo havina msingi
 
Kweli kabisa, halafu anayestahili anapata 10%... baada waongelee mambo ya maana wanakalia vitu ambavyo havina msingi
Yaani kuna mijadala huwa naisikilizaga ya wale wabunge, mpaka nabaki kushangaa kama huyu ndo Kitila Mkumbo aliyesoma UDSM..!! Kwamba Kitila na wenzie maprofesa wa MAJALALANI hawatii neno kupinga kufuka moshi wa kuni mbichi wa baadhi ya wabunge mle bungeni..!! Wao kazi yao kuhangaika na wenye mapenzi mema na nchi yetu, akina MPINA wasiongee ya maana. Na utakuta wanaoongea vepa mle ndani huyo Tulia ndo anawapa muda na wa nyongeza pia, lakini watu kama akina MPINA watakatizwa hata muda wao haujaisha, kisa sijui fulani ana taarifa ya kijinga tu..!!
 
Nyie ndio mnaotegemewa kupaginia haki za walio chini yenu, baada kuangalia jambo la msingi unaenda comment kwenye ujinga. Halafu mkiitwa vijana wa hovyo mnaanza kulaumu! Siyo kila sehemu ni ya utani🤦
Iko hivi kuna mambo mengi sana ya hovyo yanaendelea kwenye hii nchi Mfano hii Ishu ya sukari. Nchi imeoza sehemu nyingi..

Sasa badala ya nyie vijana wenye nguvu kuja na mkakati maalumu. Mnakimbilia Kulalamika na Kukosoa. Ni ishara ya Udhaifu wa kushindwa kutatua changamoto..

Toa wazo lako wafanye nini. Wewe ni sehemu ya Bunge pia. Sio kila kitu mpaka watumie akili zao.

Nyuzi za kulalamika JF bila kuja na Soln, ni Jokes.
 
Iko hivi kuna mambo mengi sana ya hovyo yanaendelea kwenye hii nchi Mfano hii Ishu ya sukari. Nchi imeoza sehemu nyingi..

Sasa badala ya nyie vijana wenye nguvu kuja na mkakati maalumu. Mnakimbilia Kulalamika na Kukosoa. Ni ishara ya Udhaifu wa kushindwa kutatua changamoto..

Toa wazo lako wafanye nini. Wewe ni sehemu ya Bunge pia. Sio kila kitu mpaka watumie akili zao.

Nyuzi za kulalamika JF bila kuja na Soln, ni Jokes.
Uko sahihi, kulia lia bila ya kuchukua hatua ni ujinga pia
 

Attachments

  • FB_IMG_17186935862077137.jpg
    FB_IMG_17186935862077137.jpg
    405.7 KB · Views: 3
We dogo ebu kuwa na adabu basi, unataka mzee wako akuelezee jinsi alivyompata mama yako na ukazaliwa wewe. Hivi unajua wazee wako wangekuwa na boom kama lako wangenunua dawa za kutolea mimba na mimba yako ingepotelea mbali.
Siku zote binadamu tunatakiwa kukumbushana katika yaliyokuwa mema sasa miongoni mwenu tunawaona mnavyotumia vibaya cent mnazopewa mjikimu vyuoni, hivi we mtoto unajua sie tunavuja jasho we mbwa usome sasa subiri uanze kupata ulizovujia jasho ndio ukabet. We unajua muhindi anawapenda ndio mana anakuwekea odds kubwa ushinde??.
Nyie hapa duniani ni wageni kuliko sie wazazi wenu, na tabu tluizopitia sie hatutaki ziwakute ndio maana tunawaelekeza. Sie wakati tunasoma akili ilikuwa kuajiriwa na sasa ajira hakuna tunawategemea nyie mpate maarifa ya kutengeneza ajira zenu na za wenzenu ambao hawakupata fursa ya kusoma kama nyie. Sasa unaambiwa acha kubet weka fikra zako katika masomo uje kujikwamua unakimbilia kujaza thread JF kupinga usiambiwe, na nyie mnataka kujifunza na makosa yenu. Ebu tumieni mapungufu yetu sie wazazi wenu nyie muwe kama watoto wa China au kwingineko duniani.
Oyaaa mshua acha porojo na mambo yaqysangay jamvin. Nyinyi ndo mmetusababishia sisi sasa hivi tunateseka kwa kutoweka misin thabiti nchini mlipokuwa vijana. Wakati vijana wa South Korea, Singapore na Malaysia wanajituma na kufanya kazi nyie mnakata maunooo na kumsifia nyerere.
 
Salaam Wakuu,

Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu?

Pia soma kauli nyingine za wabunge kuhusu boom:
Mna uhakika kuwa wanafunzi wote wanatumia boom kubetia, kwenda club au kupombeka kama mnavyowalebo?

Mkopo wenyewe unatolewa kwa dhulma, wengi wanaostahili wanapata 40%, 20% na wengine wanakosa kabisa.

Tukumbuke Boom ni pesa ya kujimu, ambayo ni kwaajilinya chakula na matumizi mengine madogo madogo ya mwanafunzi.

Hili Boom ndio linawasaidia baadhi ya wanafunzi kukamilisha sehemu ya ada ambayo mkopo haukukamilisha, kutokana na uzembe wenu mnaofanya wa kugawa mikopo kwa kujuana. Yaani serikalini kila sehemu ni upigaji, kia sehemu ni wizi na rushwa.

Baada ya kupiga kilele na kushupaza mishipa kuhakikisja kila mwanafunzi anayestahili anapata mkopo 100%, au wasome bure kabisa mnakuja kuongelea mambo ya kipuuzi. Hata wanafunzi wanao wanastahili kupumzika na kupumzisha akili zao, haimaanishi wao ni mashine 24/7 wapo na vitabu tu.

Embu tupunguzieni wadau kutokwa na mapovu mfanye mambo ya maana huko bungeni.

Tunawalipa mishahara minono na posho juu halafu mnaenda kufanya ujinga tu. Shame on you.

Posho zenu na mishahara inaishia kuwalipa machawa na watu wa kuwasafisha mitandaoni (Lucas Mwashambwa nakusalimu Mkuu) mmeona wananchi tukiwapigia kelele juu ya matumizi yenu? Kwanza zipunguzwe tu, mnatutia hasara tu walipa kodi, hatuoni faida ya uwekezaji wetu!
wafute waone moto!No sane man will ever dare to press that button,no!Nakuhakikishia huenda wakapata uprising ambayo itapelekea Serikali yao matopeni.Kwanza sijui kwann nawaamsha ilitakiwa niwasisitize walifute..Ili wasaidie mabadiliko kuja haraka.Wakae wanajua wanafunzi sio kama zero sisi tulioko mtaani.Wajaribu waone
 
Oyaaa mshua acha porojo na mambo yaqysangay jamvin. Nyinyi ndo mmetusababishia sisi sasa hivi tunateseka kwa kutoweka misin thabiti nchini mlipokuwa vijana. Wakati vijana wa South Korea, Singapore na Malaysia wanajituma na kufanya kazi nyie mnakata maunooo na kumsifia nyerere.
😂😂😂
 
Iko hivi kuna mambo mengi sana ya hovyo yanaendelea kwenye hii nchi Mfano hii Ishu ya sukari. Nchi imeoza sehemu nyingi..

Sasa badala ya nyie vijana wenye nguvu kuja na mkakati maalumu. Mnakimbilia Kulalamika na Kukosoa. Ni ishara ya Udhaifu wa kushindwa kutatua changamoto..

Toa wazo lako wafanye nini. Wewe ni sehemu ya Bunge pia. Sio kila kitu mpaka watumie akili zao.

Nyuzi za kulalamika JF bila kuja na Soln, ni Jokes.
Katika uzi wote ulichoona wewe ni malalamiko tu? Acha kukurupuka, tuliza kichwa. Lakini pia, hata tunaokuja mtandaoni kupiga kelele, tunafanya sehemu, siyo kila mtu ni wa kwenda frontline, mapigano yapo kwa njia nyingi. USIKARIRI!
 
Iko hivi kuna mambo mengi sana ya hovyo yanaendelea kwenye hii nchi Mfano hii Ishu ya sukari. Nchi imeoza sehemu nyingi..

Sasa badala ya nyie vijana wenye nguvu kuja na mkakati maalumu. Mnakimbilia Kulalamika na Kukosoa. Ni ishara ya Udhaifu wa kushindwa kutatua changamoto..

Toa wazo lako wafanye nini. Wewe ni sehemu ya Bunge pia. Sio kila kitu mpaka watumie akili zao.

Nyuzi za kulalamika JF bila kuja na Soln, ni Jokes.
Hayo mawazo utayatolea wapi? Wenye akili wote wakionyesha akili zao watakimbizwa hatari..!! Hawa wabunge kukutana nao tu ni shida. Wanangoja karibu na uchaguzi watokee majimboni,na sanasana wataonekana ili wasake walemavu wa ngozi kama wanavyoagizwa na waganga wao.
 
Back
Top Bottom