Sijalazimisha mawazo wala uelewa wako, wala hakuna nilipolazimisha utoe majibu ninayotaka, nikwambia usome uzi wote uelewe, badala ya wao kulaumu hachache wanaoenda kubeti, wajirekebishe kwanza mkopo wapate wanaostali na ikiwezekana iwe bure, sababu wao ndio wasimamizi na wanaoruhusu mikopo hii kuwa allocated kwa ambao hawastahili.
YOU TAKE THAT!