Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ndio maana kila mwaka shule zenu zinashika mkia, kwasababu elimu hamna.Kasome tena history
Miaka 60 nini kimetokea ktk hiyo bahari? Muungano wa Nchi 2 unazaa nchi mbiliTatizo nyie vijan hamuelewi, nyerere aliona mbari sana for security reasons kwasababu hata leo hii zanzbar wakijitenga hawata survive coz watakua week kijeshi kitendo cha nyerere kuleta muungano ni kutaka ku access eneo kubwa la bahari ya hind
Hapo nimemuelewa. Ukiwa mzenj na usitoboe awamu hii kweli una tatizo. Wako wachache na safari hii wanatawala bara na visiwani.Nadhani alichanganya kuelewa post, ishu ni kwamba wazanzibar kila sehem inabidi wawepo, kwa hio hata hizo nafasi za ubalozi wa Tanzania inabidi wapewe ili kuwe na muungano, kiufupi wazanzibar wana power kubwa sana kuzidi jamii / kabila lolote
wanavutiwa tu kasi na ninaamini hawatajichanganya wasije wakajuta watanganyika wakiamka usingizini.Hapo nimemuelewa. Ukiwa mzenj na usitoboe awamu hii kweli una tatizo. Wako wachache na safari hii wanatawala bara na visiwani.
mali gani ya kugawana, ipo wapi? TRA wao wanayo ya kwao na sisi tunayo ya kwetu, kuna mambo kadhaa tu ya kimuungano ndio waangalia kama kuna pesa huko and after all hata wao walishafaidika nayo kwasababu wanaishi hapa. waache ujinga.Siku mkitaka kuvunja muungano watataka mgawane mali pasu kwa pasu,hela za benki, Silaha, Nk.
BOT wana BOZ?mali gani ya kugawana, ipo wapi? TRA wao wanayo ya kwao na sisi tunayo ya kwetu, kuna mambo kadhaa tu ya kimuungano ndio waangalia kama kuna pesa huko and after all hata wao walishafaidika nayo kwasababu wanaishi hapa. waache ujinga.
kwani hela gani ya wote huwa inapelekwa BOT. taja hapa. na kama kunatakiwa kugawana kitu kwani kuna shida gani tukigawana? unamtisha nani kwamfano.BOT wana BOZ?
Mavi ya kuku.Tengua kauli ni viongozi wenye maslahi binafsi ndio waliong'ang'ania muungano sisi wananchi wa bara hatuutaki muungano mpka kesho
Tunachukua jeshi letu tunawatoa wote wa wa Zanzibar kama wapo kwenye system na tunaliondoa.kule Zanzibar
Tunachukua umeme wetu
Tunachukua ardhi yetu
Kwenye utumishi, uongozi tunawatoa wajitegemee.wao
Tuwaone sasa na hayo ni machache
Gobachev alipandwa na marekani akaivunja USSR , mark this, hizi empowerments ipo siku zitazaa matunda, hata kama sio kuvunjika kabisa,Watakuwa weak kijeshi na huku wanajeshi na Sasa wana uwezo wa kununua Silaha bila muungano
.Mavi ya kuku.
Zanzibar wanalipa kodi 2 ile ya ZRB kwa manufaa yao lakini ya TRA inawafaa watanganyika tu kwenye maisha yao ya kila siku hili nalo pia ilikuwa adhima ya tumuitaye baba mchongameno
Naombeni wenye jicho la ziada mnitoe ujinga maana huu ujinga nilionao ndio unanifanya niwe napatwa na hasira kwa maono mafupi yanayonifanga nione Zanzibar inatunyonya
Kwa upeo wangu mfupi najionea mambo haya, Naombeni mnipe maarifa, huenda mtazamo wangu haupo sawa.
Mambo ya huku bara lazima yawe na mchanganyiko wa mtanganyika na mzanzibari kuanzia ajira, uongozi, jeshini, mahakama, n.k kwenye uongozi kukiwa na msaidizi wa bara basi mkuu inabidi awe wa Zanzibar, kwenye ajira nako katika kila ajira 100 basi 21 za wazanzibar, jeshini huko wapo wengi pia sana sana polisi na jwtz, ila sasa huko kwao mambo yao ni ya wao hawataki mchanganyiko, hapa Tanganyika tunanufaika kivipi????
Ukija kwenye ardhi, wazanzibari kibao wanamiliki mashamba makubwa na viwanja huku bara lakini mtanganyika harusiwi kufanya hivyo, Je tunanufaika kivipi??
Ukija kwenye Power, hakuna kabila wala kundi linalowafikia wala kuwasogelea wazanzibar, yani si mchaga wala msukuma wala kabila lolote unaloweza kulifikiria, hawa wenzetu wapo wachache lakini wamesambazwa si mchezo kwenye vyeo vizito. kuna mawaziri, wakuu wamikoa, wakuu wa wilaya, ma rpc, vyeo vikubwa jwtz, mabalozi wa nchi za nje, majaji wa mahakama, maprofesa vyuoni, waajiriwa kwenye mashirika yenye mishahara minono kama bandarini, Bot, Tanapa, Tra, Nssf, n.k hii ni kwasababu muungano unahitaji mchanganyiko wa pande mbili.
Mtanganyika hana nafasi kwenye serikali ya zanzibar kuanzia kwenye uongozi, ajira, mahakama, n.k Wana serikali yao kwajili yao kuanzia uraisi, makamu wa raisi, spika wa bunge, n.k hawa inabidi wawe wa zanzibar. pia wana taasisi zao kama Zff ambayo ni kama tff ya huku, Zrb ambayo ni kama Tra ya huku, Zssf ambayo ni kama Nssf ya huku, Jku ambayo ni kama jkt ya huku, yani taasisi zipo kibao kwakweli, hizo taasisi zinatoa ajira kwa wazanzibar tu, mtu wa Tanganyika huna sifa, lakini cha ajabu mzanzibar anaweza kupata ajira pande mbili za bara na huko kwao, vya bara ni vya wote ila vya zanzibar ni vya wao pekee, Patamu happ aisee 🤔🤔
Tukubali kwamba wazanzibar "WALITUZIDI AKILI" na wanafaidi mno muungano bila kujijua.
Kwa upeo wangu nimegundua Karume alimzidi akili Nyerere, Alipoona kwamba Nyerere anambembeleza sana kuwe na muungano, Karume akatumia nafasi hii kumbana Nyerere aipe Zanzibar upendeleo kama huu tunaouona ama sivyo hakuna muungano, Pia akaongezea kipengere kwamba endapo kukiwa na muungano basi Zanzibar iwe kwajili ya Zanzibar lakini Tanganyika ibanwe iwe kwajili ya wote, Kwa lugha nyepesi "changu ni changu ila chako tutagawana" matokeo yake leo Tanganyika tunashuhudia inapigwa nje ndani na wazanzibar, haya malalamiko kytoka Zanzibar kwamba wanyonywa yaliwekwa kimkakati ili iwe silaha kwa wazanzibar kuridhika na kujitapa kwamba wametuzidi akili, ingekuwa hivi muungano ungekufa mapema. lakini pia haya malalamiko yapo kimkakti kuizubaza Tanganyika idhani kwamba Zanzibar ni kama mkoa wake kumbe kiukweli wazanziba ndio wanaonufaika.
Naona uelewa wako wa nilichoandika ni mdogo. Unasoma kitu, hutulii kujua kinachoelezwa ni nini.Mbona Nyerere alikuwepo kwa miaka mingi sana baada ya Karume kuuwawa?
Hata issue ya Zanzibar kujiunga na OIC ni Nyerere ndiye alikemea Zanzibar ikalazimika kujitowa.
Kwa swala la muungano huu Nyerere anabeba lawama zote, alikuwepo na alikuwa na fursa ya kuweka mambo sawa kabla hajafa.
Malengo ya huu muungano ni kuimeza Zanzibar, sasa lengo limeshindikana na Wazanzibar ndio wananufaika Zaidi Watanganyika tumebaki tumepigwa na butwaa.
Ila adui wa yote haya ni ccm, kama Wazanzibar wangeachiwa waongozwe na Rais waliokuwa wakimpigia kura miaka yote Maalim Seif Sharrif Hamad hizi kero zisingekuwepo leo.
Hata mimi leo hii sioni faida ya huo Muungano wa kinyonyaji, kipindi fulani Mtanganyika akitaka kwenda Zanzibar ilibidi awe na Passport na apewe visa. Lol
Naombeni wenye jicho la ziada mnitoe ujinga maana huu ujinga nilionao ndio unanifanya niwe napatwa na hasira kwa maono mafupi yanayonifanga nione Zanzibar inatunyonya
Kwa upeo wangu mfupi najionea mambo haya, Naombeni mnipe maarifa, huenda mtazamo wangu haupo sawa.
Mambo ya huku bara lazima yawe na mchanganyiko wa mtanganyika na mzanzibari kuanzia ajira, uongozi, jeshini, mahakama, n.k kwenye uongozi kukiwa na msaidizi wa bara basi mkuu inabidi awe wa Zanzibar, kwenye ajira nako katika kila ajira 100 basi 21 za wazanzibar, jeshini huko wapo wengi pia sana sana polisi na jwtz, ila sasa huko kwao mambo yao ni ya wao hawataki mchanganyiko, hapa Tanganyika tunanufaika kivipi????
Ukija kwenye ardhi, wazanzibari kibao wanamiliki mashamba makubwa na viwanja huku bara lakini mtanganyika harusiwi kufanya hivyo, Je tunanufaika kivipi??
Ukija kwenye Power, hakuna kabila wala kundi linalowafikia wala kuwasogelea wazanzibar, yani si mchaga wala msukuma wala kabila lolote unaloweza kulifikiria, hawa wenzetu wapo wachache lakini wamesambazwa si mchezo kwenye vyeo vizito. kuna mawaziri, wakuu wamikoa, wakuu wa wilaya, ma rpc, vyeo vikubwa jwtz, mabalozi wa nchi za nje, majaji wa mahakama, maprofesa vyuoni, waajiriwa kwenye mashirika yenye mishahara minono kama bandarini, Bot, Tanapa, Tra, Nssf, n.k hii ni kwasababu muungano unahitaji mchanganyiko wa pande mbili.
Mtanganyika hana nafasi kwenye serikali ya zanzibar kuanzia kwenye uongozi, ajira, mahakama, n.k Wana serikali yao kwajili yao kuanzia uraisi, makamu wa raisi, spika wa bunge, n.k hawa inabidi wawe wa zanzibar. pia wana taasisi zao kama Zff ambayo ni kama tff ya huku, Zrb ambayo ni kama Tra ya huku, Zssf ambayo ni kama Nssf ya huku, Jku ambayo ni kama jkt ya huku, yani taasisi zipo kibao kwakweli, hizo taasisi zinatoa ajira kwa wazanzibar tu, mtu wa Tanganyika huna sifa, lakini cha ajabu mzanzibar anaweza kupata ajira pande mbili za bara na huko kwao, vya bara ni vya wote ila vya zanzibar ni vya wao pekee, Patamu happ aisee 🤔🤔
Tukubali kwamba wazanzibar "WALITUZIDI AKILI" na wanafaidi mno muungano bila kujijua.
Kwa upeo wangu nimegundua Karume alimzidi akili Nyerere, Alipoona kwamba Nyerere anambembeleza sana kuwe na muungano, Karume akatumia nafasi hii kumbana Nyerere aipe Zanzibar upendeleo kama huu tunaouona ama sivyo hakuna muungano, Pia akaongezea kipengere kwamba endapo kukiwa na muungano basi Zanzibar iwe kwajili ya Zanzibar lakini Tanganyika ibanwe iwe kwajili ya wote, Kwa lugha nyepesi "changu ni changu ila chako tutagawana" matokeo yake leo Tanganyika tunashuhudia inapigwa nje ndani na wazanzibar, haya malalamiko kytoka Zanzibar kwamba wanyonywa yaliwekwa kimkakati ili iwe silaha kwa wazanzibar kuridhika na kujitapa kwamba wametuzidi akili, ingekuwa hivi muungano ungekufa mapema. lakini pia haya malalamiko yapo kimkakti kuizubaza Tanganyika idhani kwamba Zanzibar ni kama mkoa wake kumbe kiukweli wazanziba ndio wanaonufaika.
Tatizo nyie vijan hamuelewi, Nyerere aliona mbali sana for security reasons kwasababu hata leo hii zanzbar wakijitenga hawata survive coz watakua week kijeshi kitendo cha nyerere kuleta muungano ni kutaka ku access eneo kubwa la bahari
Watu wenye akili na wakiendelea kiuchumi na kijeshi wanaunganga wewe unataka matengano na makasiriko?
Umeshasikia kitu kinaitwa NATO?
Umeshasikia kitu kinaitwa EU
Je hii € unajua Ina nguvu kiasi gani?
Hata ije katiba gani,Muungano hautavunjwa,bora mzime umeme.Suruhisho ni katiba Mpya