unapotezaje sehemu ya eneo la bahari wewe? yaani toka mtwara hadi Tanga, wenyewe kaeneo kao mbona kadogo tu, au unafikiri kwasababu ni kisiwa basi bahari yote wanamiliki, wanamiliki sehemu ndogo sana ya bahari hao urojo. utaanza kuhesabu nautical miles ngapi toka mafia hadi uwafikie, upande wa chini hawatashuka kwasababu hawana kisiwa chochote chini ya unguja, tanga kidogo itagawana kwasababu ya pemba. enda kwenye ramani angalia ramani yao, kuna,chukia kisiwa chao kimataifa kuna nautical miles kadhaa tu ndizo watamiliki. kwengine kote bara tutasambaa sana, tuna eneo kubwa la bahari kuliko na hawatuathiri chochote. ila kiukweli hawana faida kwetu zaidi ya undugu tu ambao wao hawaapreciate.