Jamestanzania
Member
- Oct 21, 2022
- 21
- 11
Kuna yeyote humu alie na experience na kusafirisha milango na madirisha ya mninga kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine? Je process ziko vipi na gharama zikoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda tfs
Tfs ndio nini boss?
Ofis zao kuna kibar wanatoa cha kusafirisha kwenda mkoa moja na mkoa mwingineTfs ndio nini boss?
Ofis zao kuna kibar wanatoa cha kusafirisha kwenda mkoa moja na mkoa mwingine
Eeh unalipia mkuu japo kua makin kuna wengine vishoka japo ni watumish wasikuingize chakaNashukuru. Natakiwa kulipia hichi kibali?
Nenda wakala wa misitu TFS lipia gharama za kila mlango au bidhaa yyote ya mbao ni rafiki sana na fuata masharti yao ya kusimama kwa kila geti kwa ukaguz.
Mambo ni rahisi sana
Eeh unalipia mkuu japo kua makin kuna wengine vishoka japo ni watumish wasikuingize chaka
Kila item mfano mlango mmoja hua ni 50k.....topSawa sawa boss. Nalipia kwa mzigo au kila item moja moja.
Kila item mfano mlango mmoja hua ni 50k.....top
Frem zipo below50k
OkDah! Hizi gharama si mchezo nashukuru mkuu