inawezekana mkuuIsijekuwa ushamla demu wa yule kaka alikuwa analia lia
Nmelazwa hosp hal imebadilika gfla tka jioni. Joto nurse kpma akashtuka akatoka mbio kwenda mwta doc naye amekja anakimbia sana limefka 44° C ila natetemeka ile mbaya. Imebadilika ghafla tu ile jioni.
Mkwara wa yule jamaa[emoji23] [emoji23]Mmh
Ndio ule mkwara nini umeanza fanya kazi Gudume
[emoji23][emoji23][emoji23] mpe matumaini mkuuR.I.P Gudume Gwambegu nitamiss sana harakatu zako..
Gudume si wa kumuonea huruma hata huyu nesi lazima amswenkee..[emoji23][emoji23][emoji23] mpe matumaini mkuu
Nmelazwa hosp hal imebadilika gfla tka jioni. Joto nurse kpma akashtuka akatoka mbio kwenda mwta doc naye amekja anakimbia sana limefka 44° C ila natetemeka ile mbaya. Imebadilika ghafla tu ile jioni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani ule mkwara unamuhusu yeyeIsijekuwa ushamla demu wa yule kaka alikuwa analia lia
Fanya hivi.. Chukua maji ambayo hayajachemshwa kajimwagie.. Alafu pia kama unamtu wa karibu mwombe aku sponji.. Yani awe anakukanda na maji mwili mzima hasa maeneo ya kifuani tumboni na kichwani...
Ikiwezekana chukua kitambaa chenye maji kwenye kichwa Ila ikitokea kimepata joto kiloweke tena ukirudishe.. Fanya hivyo kwa mwili mzima LA sivyo hali itakuwa mbaya zaidi.. Hapo ulipo hata ukimeza dawa
Kufanyakazi ni nshu coz enzyme zinaaribiwa na joto.. So Fanya kwa hivyo
Yule jamaa aliesema unatembea na mchumba wake kashafanya mambo nini?!!Nmelazwa hosp hal imebadilika gfla tka jioni. Joto nurse kpma akashtuka akatoka mbio kwenda mwta doc naye amekja anakimbia sana limefka 44° C ila natetemeka ile mbaya. Imebadilika ghafla tu ile jioni.
Ukifa itapendeza zaidi!Nmelazwa hosp hal imebadilika gfla tka jioni. Joto nurse kpma akashtuka akatoka mbio kwenda mwta doc naye amekja anakimbia sana limefka 44° C ila natetemeka ile mbaya. Imebadilika ghafla tu ile jioni.
Hongera sana mkuu.. Na Mimi niliwahi umwa hivyo kunakipindi ndo maana sikusita kukwambia cha kufanya.. Nilikuwa naona kama ndo naondoka yani..mkuu nashukuru sana ushauri wako ulifanya kazi vizuri. nmeamka najisikia vizuri kiasi flan. ni malaria nina miaka kama 15 sijaumwa malaria.... sasa ni muda hali ilikuwa inanijia hivi nadharau jana hal ilichange zaidi.