Mnisaidie: Ni ugonjwa gani naweza utumia kama excuse ya kuahirisha masomo nje ya nchi?

Mnisaidie: Ni ugonjwa gani naweza utumia kama excuse ya kuahirisha masomo nje ya nchi?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.

Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.

Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.

Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.

Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
 
Arrhythmia
"An arrhythmia is a heart rhythm that isn’t normal. Your heart may be beating too fast when you’re at rest or just not beating in a regular pattern, for example.

Arhythmias range from harmless to serious, with symptoms and without. There are many options to treat arrhythmias, but some don’t need them. The prognosis varies greatly depending on the type."
 
Unataka ufundishwe uongo? Husikii aibu kiongozi?

Na huko unakotaka kwenda maisha yatakushinda mkuu, jamii za kule hawana mambo ya uongo uongo kabisa! Bora ingekuwa China au India sijui ila Scandinavian country asee Pole sana, jamaa wako so genuine.
 
Kama huumwi kweli, nenda shule usiwe Karume Kenge
Shule nitaenda, ila mipango haijakamilika mpaka mwakani nitakuwa tayari. Na wao wanaweza nipa nafasi kama tu nna strong health reasons.
 
Back
Top Bottom