Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
869
Reaction score
961
Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Watu ni waoga sana wa maisha... Mimi sina ajira ila niliwahi itwa sehemu mshahara ilikuwa 780,000. Nikapiga hesabu nikagundua kuwa napata hela hiyo katika shguhuli binafsi bara 2 hadi 4 kwa mwezi. Sikwenda. ndugu sasa wakaanza oh wewe ungeenda uhakika wa maisha sijui nini.
Ila sijawahi jutia kutoenda.
 
Watu ni waoga sana wa maisha... Mimi sina ajira ila niliwahi itwa sehemu mshahara ilikuwa 780,000. nikapiga hesabu nikagundua kuwa napata ela hiyo katika shguhuli binafsi bara 2 hadi 4 kwa mwezi. Sikwenda. ndugu sasa wakaanza oh wewe ungeenda uhakika wa maisha sijui nini.
Ila sijawahi jutia kutoenda.
Ndugu huwa wanalaani sana ila kiuhalisia biashara zikikua unapiga hatua kubwa sana.
 
Ajira na kujiajiri ni kitu kimoja tofauti ajira ni for security ila kujiajiri ni sustainability for future
Ni security ipi unaipata kwenye ajira??
Bima ya Afya?
Mikopo?
Uhakika wa mshahara kila tarehe 23?? Na huo mshahara ni kiasi gani??
Sifa za kuwa mtumishi wa Serikali??

Hebu fafanua hiyo security unayomainisha
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Acha kuajiriwa ni utumwa, Serikali inapotozea watu muda.
Ukiingia kwenye biashara "risk" ya kushindwa ni ndogo mno.
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Acha kuajiriwa ni utumwa,serikali inapptozea watu muda.
Ukiingia kwenye biashara "risk" ya kushindwa ni ndogo mno
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Acha kazi wala usitupotezee muda humu na kujaza server za JF.
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Ukifika unaukiza hivi hunaa hakika ya kuacha kazi wenzio hawakuomba hata ushauri na wametoka humu subiri majibu....
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Kila la kheri mpambanaji.
 
Ni kwel moja ya watu ninaogopa kuwashirikisha hili ni family yangu mke watoto na wazazi pamoja na ndugu wa karibu , nafahamu hawataweza kunielewa na inawezekana watanitenga
Ila nawewe mbona kama ulikurupuka kuikimbilia ajira? Tayari ulikuwa na kipato kizuri kuzidi wenye mishahara, job security inawatoa wengi kwenye reli. Nna jamaa yangu nae alikuwa vizuri tu na biashara zake, ndugu wakapiga nae sana kelele aajiriwe, akawasikiliza na ndio ukawa mwanzo wa anguko la biashara zake zote kwa sababu usimamizi ni mbovu na yeye yupo mbali kikazi.
 
Back
Top Bottom