Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Mkopo una bima, Bima italipa.
Sheria ya Bima:-
Ikitokea dhamana ya huo mkopo umepotea (no more) basi bima hulipa Bank.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Okay vipi nikiwa mtaan nataka kukopa ule mkopo wa biashara hawawezi kunizuia kwamba Kuna mkopo hukumaliza??? Maana naambiwa siku hiz ambao wanashindwa kulipa madeni Yao wanakuwa blocked na taasisi za kifedha , wakiingiza tu taarifa zako mfumo unasoma jamaa Kuna mkopo hajalipa unakuwa blocked mpaka ulipe , sijajua kuhusu hii ya utumishi
 
Hakuna atakayekushauri uache kazi hilo bomu unatakiwa ulivae wewe.watu wanaopa kulaumiwa badae
 
Inahitaji maamuzi magumu mzee kama unaingiza 2mil net profit kwa mwezi kwenye biashara zako acha tu baada ya mwaka au miaka miwili waweza kuta ushabalance uchumi wako unashindana na mo wa kariakoo
 
Mkopo una bima, Bima italipa.
Sheria ya Bima:-
Ikitokea dhamana ya huo mkopo umepotea (no more) basi bima hulipa Bank.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu hapo kwenye Bima hapo, Naomba unifafanulie. Hii ipo kwa mikopo ya aina zote mtu akikopa Bank?
 
Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
Hivi starlink ya Elon musk bongo Bado eeeh
Usiache kwanza kazi ulishakosea tangu mwanzo kutafuta kazi huku biashara ipo

Hiyo biashara yako ipo stage gani?
Jibu hilo swali tuone tunafanyaje
 
Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
Ingelikuwa mimi ningeashaacha siku nyingi sana!
 
Omba likizo ya bila malipo hata kwa miaka 3 nenda kasimamie biashara zako,mambo yakigoma utarudi ajirani maana ajira yako itakuwa safe.Namfahamu mtu alishawahi kufanya hivi ninavyokwambia na yeye anaenda mwaka wa nne hayupo kazini ila mshahara wake unaingia wanaula wakubwa huko halmashauri
 
Omba likizo ya bila malipo hata kwa miaka 3 nenda kasimamie biashara zako,mambo yakigoma utarudi ajirani maana ajira yako itakuwa safe.Namfahamu mtu alishawahi kufanya hivi ninavyokwambia na yeye anaenda mwaka wa nne hayupo kazini ila mshahara wake unaingia wanaula wakubwa huko halmashauri
Aisee! Watanzania wajanja mno!!!
 
Omba likizo ya bila malipo hata kwa miaka 3 nenda kasimamie biashara zako,mambo yakigoma utarudi ajirani maana ajira yako itakuwa safe.Namfahamu mtu alishawahi kufanya hivi ninavyokwambia na yeye anaenda mwaka wa nne hayupo kazini ila mshahara wake unaingia wanaula wakubwa huko halmashauri
Sema Nina mkopo bank hivi watanipa hiyo likizo??
 
Back
Top Bottom