Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Wewe sio real businessman ni muoga unafata watu watasema nin kuhusu wewe hisia zinafelisha wengi dunian
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Kupanga ni kuchagua in late magufuli's voice.
 
Afisa kilimo sijui afisa mifugo kama uliweza kufanya biashara kwa miaka sita na ikawa sustainable why ukibimbilie ajira yakufokeana na mkurugenzi na mkuu wa wilaya ambao ata ukiangalia vzr mmelingana elimu ila kila siku nikuwapiga nyie mikwala?
 
Piga chini ajira.....
Endelea na biashara huku ukiwa kimkakati na kisomi. 1.5M net profit inatosha wewe kuanza kuinvest part of it kwaajili ya passive income in the future.
Cheap option ni UTT. In no time hiyo hela ya manyanyaso 500K utaanza ipata bila kuifanyia kazi.
 
Laki 5 na uko mbali na familia yako,dogo acha kazi pambanaaaaa kwa mishe zako kwa jasho na damu,jitoe haswa utaona mafaniko usichague shughuli ya kufanya kuwa muamimifu
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
umechelewa acha fasta, tena nasema fasta kasimamie biashara zako, vinginevyo toa upuuzi hapa
 
Nina mwaka tangu niajiriwe serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa , naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara .

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi , biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani Yani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi , kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu , Kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pkpk Kwenda kazini , Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwez kuishi sehemu Haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwez kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka
Kabla hujaacha make shure biashara yako iko stable.
Or una different source than hiyo biashara
 
Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.

Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.

Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k

Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.

2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.

3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.

Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
umekuja kuomba ushauri huku wakuacha kazi! Umeshafeli, wew fanya unachoona kinafaa uamuzi wa kuacha kaz hauhijati ushauri wa watu wengi, miluzi mingi hupoteza mmbwa
 
Kabla hujaacha make shure biashara yako iko stable.
Or una different source than hiyo biashara
Ishu ya biashara kuwa stable ni jinsi unavyoisimamia mwenyewe , biashara haiwez kuwa stable kama wewe mwenyewe muda mwing unakuwa out na biashara yako , hata hivyo Nahitaji nianze biashara zingine mpya kama mbili ambazo naogopa kuzianzisha kama nitaendelea na kazi bas zitakufa , zinanihitaji niwe mwenyewe nione mambo yanavyoenda
 
Back
Top Bottom