Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 625
- 506
Hahaha,mm ni great thinker bana sema wananibagua tuLabda wanaona sio great thinker
Hlo ndo jina maarufu kazini na hata kijiweni mkuu. Af Katk registration Jamii Forum walilikataa jina langu halisi ndo nikabandika hiloUlifikiria nini kutumia ID hii ya tumpara DUDU...?
Alafu unakaribia mwaka humu unajiitaje mgeni?Hahaha,mm ni great thinker bana sema wananibagua tu
Asante ndugu,kwahyo hii Thread ilistahiki wap?Karibu sana mkuu. Hili jukwaa unapaswa kuleta habari za mastaa na vituko vyao tuu...
PM ni private massage.......
Inawezekana ikawa kweli lkn sikuwah kupost wala kuchangia chochote kwakuwa sikuwa naruhusika,ndo nimefanikiwa wiki hii kupost na kuchangia mada. Nilishakata tamaa kutumia hili jukwaa kwakuwa nilikuwa siiwez lkn wiki hii nimejaribu tena angalau nimetoa ushambaAlafu unakaribia mwaka humu unajiitaje mgeni?
Ile ID yako inayojulikana ni ipi?
Anza kwanza kutoa Tafsir ya Amadoli,ukimaliza hyo Tupe ya Pombe Magufuli af Malizia ya Mizengo Pinda kisha na mm nitaleta ya Tumpara Dudu.Tupe tasfiri ya neno Tumpara dudu
Nimeona watu wanasema "ni pm nikupe full details" ndo nikaja kwenu kuuliza pm ndo nn?Ulijuaje kama kuna PM ?
Umesema we ni mgeni alaf bado waleta kiburi alaaaahAnza kwanza kutoa Tafsir ya Amadoli,ukimaliza hyo Tupe ya Pombe Magufuli af Malizia ya Mizengo Pinda kisha na mm nitaleta ya Tumpara Dudu.
[HASHTAG]#SAMAHANI[/HASHTAG] KWA USUMBUFU UTAKAOUPATA NDUGU#
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sio kiburi ndugu yangu nilikuwa nataka uvute picha kuwa hayo majina yana maana yoyote au ni maneno tu yasiyo na maana ambayo huchaguliwa tu kuwa kama utambulisho wa mtu au kitu.Umesema we ni mgeni alaf bado waleta kiburi alaaaah