Mnyama Airport Kwenye Runway: Marubani Wapewa Tuzo

Hivi Golikipa akiokoa Michomo ambayo ndiyo sehemu ya Kazi yake awapo Golini anatakiwa Kusifiwa?

Leo mnawasifu hawa Marubani kwa Kupiga Break Kali na Kutomgonga huyo Mnyama je, ingeyokea wamesimama hivyo ghafla halafu Ndege ikalipuka na Wakafa pamoja na hao Abiria wao 84 bado mngekuja Kuwakongole ( Kuwasifia ) Kinafiki hivi?

Yaani GENTAMYCINE niwe Rubani tena wa Ndege Kubwa halafu nimebeba Abiria wa Kutosha nimeshaiseti Ndege tayari kwa Kupaa ( Kuruka ) kisha ajitokeze Mnyama au Mlevi Mmoja mbele yangu nipunguze mwenfo ili nimuokoe? Mimi nafyeka Mnyama na huyo Mtu kisha napaa zangu kutafuta Futi 55000 za Usawa wa Bahari kuitafuta JNIA.
 
Mzee wangu, mimi nimekopi yaliyotolewa na wenyewe, siyo kwamba ninawasifu kwani naona kamaumeniunganisha na kundi hilo. Tunategemea kila mtu kutekeleza wajibu unaoendana na majukumu yake, ila sasa kwetu sisi wabunge wakitekeleza wajibu wao, wanapewa posho; kwa hiyo inawezekan ndiyo ada yetu.
 
Nakumbuka baadhi ya abiria walitapika baada ya tukio ilo. Kuna wadada walikua jirani pale walihisi kukojoa kwa hofu.

Wale marubani wapewe uwaziri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…