Mnyika anafanya upotevu wa muda usiku uingie ili Dola imsaidie Mbowe. Hotuba yake ilipaswa kuwekwa kwenye vitabu

Mhe.Mnyika ili kurahisisha zoezi la uhakiki na upigaji kura Fanya hivi,:

Ita Kanda husika , Mwenyekiti wa Kanda awe wa mwisho ktk mstari wa wajumbe wa Kanda yake, then ita jina la mjumbe halali wa Kanda hiyo mpe karatasi za kura apige Kisha achovye kidole kwenye wino usiofutika kirahisi.

Baada ya kupigwa kura akipenda arudi akae ukumbini au aende nje kupunga upepo kusubiri matokeo.

Ila unachofanya utapoteza muda mwingi sana labda Kuna jambo unalitengenezea mazingira nyakati za usiku.

Simple and Clear.
 
Umeme utakatika usiku
 
UPIGAJI KURA UWE WA HURU NA HAKI BILA RUSHWA!
 
hapa tayari tundu lisu ameshahujumiwa.
usiku umeme utakatwa na kisha watu wa tiss wataingilia uchaguzi huo na kuiba kura ili mbowe ashinde.
Hili uliloandika hapa ndio linalokwenda kutokea mkuu.
 
Lissu alikuwa anashangiliwa sana, huo wingi wa kura za Mbowe zimetoka wapi? Tuseme uchakachuaji ulishindikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…