Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Mlidhania kuwa msukuma ni mwenyekiti wenu tu?
Imekula kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa swali hili kutoka kwako, ni dhahiri shairi...hoja nilizotoa juu ya mapungufu ya uhuru ndani ya "chama chetu", zimekukaba. Pole sana. Ila ujue uzungumzie usafi wa mtaa wakati nyumbani kwako ni kusafi. Ha ha ha ahaaaa!

Karibu.
 
Nimegundua kuwa ""mataga wa ccm ""safari hii wote ni wasukuma na bado sijajua chanzo chake
Kwa swali hili kutoka kwako, ni dhahiri shairi...hoja nilizotoa juu ya mapungufu ya uhuru ndani ya "chama chetu", zimekukaba. Pole sana. Ila ujue uzungumzie usafi wa mtaa wakati nyumbani kwako ni kusafi. Ha ha ha ahaaaa!

Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua kuwa ""mataga wa ccm ""safari hii wote ni wasukuma na bado sijajua chanzo chake

Sent using Jamii Forums mobile app
Utasema yote ....!!! Kisa mnakosa hoja za kusimamia. Tafuta hoja madhubuti za kusimamia, ili
" chama chetu " kisiabike majukwaani na mitandaoni. Usisahau uhuru ndani ya "chama chetu" ni muhimu sana. H aha ha ha haaa!

Asubuhi njema.
 
Hao ndiyo watu wakusimamia haki uchaguzi wa serikali za mitaa kakemea dhuluma iliyotembea, MUNGU anafurahishwa na hayo fara kweli ajiondoe ndiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nenda kasali kwa Gwajima sababu ndo atawatimizia haja hiyo.... Hawa watu wana wisdom na si kama hao wachungaji wa mitaani waropokaji....Au ulitaka padri aanze kuruka ruka kanisani aipondee serkali uanze kushangilia... Kanisani hapo.... Fikiri wewe.
 
..... Duh! Hii nayo kali. Chief wa CDM naona maana hata mkuki ni mali ya chadema. Pole yake.
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!
 
Sijawahi kusikia kuna mtu amejitokeza kugombea nafasi ya mwenyekiti tofauti na yule mtukufu aliyepo
Utasema yote ....!!! Kisa mnakosa hoja za kusimamia. Tafuta hoja madhubuti za kusimamia, ili
" chama chetu " kisiabike majukwaani na mitandaoni. Usisahau uhuru ndani ya "chama chetu" ni muhimu sana. H aha ha ha haaa!

Asubuhi njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona sindano ya wasukuma wanao jitambua kumsimika mh Mnyika imewachoma wengi sana ukiwemo na wewe
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!

Mmmhhh.
 
Naomba kuuliza,hii taarifa jana ilirushwa na tv yoyote au waliogopa kufungiwa?
 
Back
Top Bottom