TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kwa swali hili kutoka kwako, ni dhahiri shairi...hoja nilizotoa juu ya mapungufu ya uhuru ndani ya "chama chetu", zimekukaba. Pole sana. Ila ujue uzungumzie usafi wa mtaa wakati nyumbani kwako ni kusafi. Ha ha ha ahaaaa!
Kwani mnyika kabila gan mkuu ?Hao ndo watu wenye upendo na kila mtu na siyo Umachame na Umarangu tu, hilo lingefanyika Marangu au Machame pangekuwa hapatoshi hapa, jifunzeni kama mkipenda.
Kwa swali hili kutoka kwako, ni dhahiri shairi...hoja nilizotoa juu ya mapungufu ya uhuru ndani ya "chama chetu", zimekukaba. Pole sana. Ila ujue uzungumzie usafi wa mtaa wakati nyumbani kwako ni kusafi. Ha ha ha ahaaaa!
Karibu.
Umepanik mkuu, haya na wewe nakupa uchifu wa hapo lumumba kuanzia leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasema yote ....!!! Kisa mnakosa hoja za kusimamia. Tafuta hoja madhubuti za kusimamia, iliNimegundua kuwa ""mataga wa ccm ""safari hii wote ni wasukuma na bado sijajua chanzo chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma hawana urafiki na wachaga Mnyika aache kujikomba komba kwa wasukuma
Basi nenda kasali kwa Gwajima sababu ndo atawatimizia haja hiyo.... Hawa watu wana wisdom na si kama hao wachungaji wa mitaani waropokaji....Au ulitaka padri aanze kuruka ruka kanisani aipondee serkali uanze kushangilia... Kanisani hapo.... Fikiri wewe.Hao ndiyo watu wakusimamia haki uchaguzi wa serikali za mitaa kakemea dhuluma iliyotembea, MUNGU anafurahishwa na hayo fara kweli ajiondoe ndiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!..... Duh! Hii nayo kali. Chief wa CDM naona maana hata mkuki ni mali ya chadema. Pole yake.
Unavotamka Dr kikwete,kweli unaona hujakosea popote pale..hakuna mjadala ila unavokuja kuzitaja Dr zakwenye hii serikali iliyomo unaona moyo unagoma kabisa kabisa.
Utasema yote ....!!! Kisa mnakosa hoja za kusimamia. Tafuta hoja madhubuti za kusimamia, ili
" chama chetu " kisiabike majukwaani na mitandaoni. Usisahau uhuru ndani ya "chama chetu" ni muhimu sana. H aha ha ha haaa!
Asubuhi njema.
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!
Unavotamka Dr kikwete,kweli unaona hujakosea popote pale..hakuna mjadala ila unavokuja kuzitaja Dr zakwenye hii serikali iliyomo unaona moyo unagoma kabisa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
M
diamond ana walinzi binafsi zaidi ya 10, mlinzi kapewa mbowe tu.kwa maoni yangu hats lissu angekuja tu apewe cover ya nguvu.gari au MTU yeyote akimfuatilia hovyo imekula kwao.huu unyonge Wa chadema Ni Wa kijinga.
Yaani "chama chetu" kinaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani kinadhani watanzania waleo ni wale wa 'kuzungusha mikono' na kubadilishiwa gia angani, waapiii!! Watanzania wa leo wanajitambua sana. " chama chetu" kina jiabisha sana kwa sababu kinaongozwa bila dhsmira ya kuwasaidia watanzania kujipatia maendeleo haraka bali dhamira ya kukwamisha chama makini cha kizalendo kuwanufaisha Watanzania wote. Wapi tindo na Salary Slip mje mrekebishe mambo....( mmeanza wenyewe mambo haya, msilalamike) Ha ha ha a aaa!!
Wanatuboa sana tena hovyo kabisa kwasasa inanibidi niunge juhudi.hamna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi inakuharibu akili. Achana nayo.Kalamu1, TANZANIA NI NCHI YA AMANI BHANA MACCM NDO MNATUHARIBIA KISA USHAMBA WENU
Bangi inakuharibu akili. Achana nayo.
Toka siku ile nilipokudharau na kukuona kuwa huna faida yoyote kwa CHADEMA, pamoja na wewe kuendelea kujitangaza kuwa upo huko.