Pre GE2025 Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huku Tanzania wapinzani wamelamba asali hawana jipya tena
 
Soon utasikia Tanzania imewezesha
 
Hiyo taarifa ya mnyika kwenda Senegal hiyo Novemba nilishawahi kuwekwa kwenye vyombo vya habari au ndo kututengeneza kiakili.?
 
Toba, I smell a stinking fish...Kama alikwenda Kusaidia then anatupa taarifa Kuna a force behind this change...Pengine mabeberu Wana recruit new agents...Nimewaza tu mwenzenu kwakua vyama vyetu vina support ya Hawa ma bwana badala ya kujisimamia vyenyewe
 
...Ujumbe kutaka kiongozi wa Upinzani...
Unajisikiaje Raha kujiita Mpizani badala ya kujiita Mshindani? Neno Upinzani limebeba "negative energy" na neno Mshindani limebeba "Positive Energy".

Badilikeni Enyi wanasiasa kama mnania njema na Maendeleo ya Taifa la Tanzania na watu wake. Ujumbe huu aupokee Mnyika na Wenzake.
 
Hayo mapambano fanyeni na hapa Tanzania, ila CDM sijui lini watapata akili..!!
 
hivi lile v8 lenyere bendera ya ccm likibeba wa ethiopia ilikuwa ni habari ya majini
 
Rais aliyetoka nayeye alikuwa mpinzani ila, ghafla akataka kuinajisi Katiba, ngoja tuone wengi waafrica wanaingia ikulu very humble ila wakionja madaraka wanageuka na kusahau movement zote
Watu weusi hawawezi kujiongoza wala kuongoza wengine

Ni jamii Masikini, Dhaifu na hovyo wasiopendana na wanaochukia maendeleo ya wenzao
 
Yaani CHADEMA maongo maongo na matapeli ya kisiasa.ndio maana chama kimedumaa utafikiri ndama aliyekosa maziwa.
Ccm ndiyo imedumaa. Chama gani kinatawala zaidi ya miaka 50 na serikali yake hakiwezi kujenga matundu ya vyoo?
 
Wananchi ndio wenye funguo za mabadiliko, viongozi wa upinzani ni wasimamizi tu wa kuwezesha hayo mabadiliko, kuwalaumu wasimamizi kwa kuchelewesha mabadiliko huku sisi wenye funguo tumejifungia ndani hakuna tunachofanya ni kulea tatizo muda mrefu zaidi.

Hapo ni kura zipigwe 2025, zisimamiwe na wapiga kura wenyewe ili kuzuia wizi usitokee ndipo mabadiliko yatafanyika, lakini kukimbia hata kupiga kura zenyewe huku tukiwalaumu viongozi wa upinzani ni kutojielewa kabisa, hatujitambui.
 
Matatizo yaliyopo nchi ya Senegal na kwetu yapo.
Bahati mbaya viongozi wetu hawapo tayari kurekebisha sheria kanuni na taratibu zenye kutoa haki,tunaishi kimazoea miaka nenda rudi !!
 
Sonko nae muda wake ukifika atagoma kuondoka Akili za kiafrika ni za kijinga sana.
 
Tanzania hakuna upinzani hilo ulijue hata maandamano yana pa kuanzia na pakuishia strategic plan lazima iwepo.Viongozi wa upinzani Tanzania wanahongwa sana na wanafanya kazi ya kuchezea akili za wananchi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…