johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Waende mahakamani!Wafanyaje wavamie jengo la NEC?
Hazuii kushitaki.Mwenyekiti wa NEC ni Jaji mstaafu!
Ndiyo maana Ndugai alijiwekea kinga ya kutoshitakiwaKama hawana la kufanya basi wanyamaze tu Ndungai awaamulie.
Labda ni jinai waanzie polisi!Hazuii kushitaki.
Despatch ya NEC inatunzwa na ofisi ya CHADEMA?Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu
NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
Kuna mahakama au kuna shina la CCM?Waende mahakamani!
Wanayo ya kwao ya kupokea iko wapi? Hiyo yako ya kujitungiaDespatch ya NEC inatunzwa na ofisi ya CHADEMA?
Hii ni awamu ya 6 ngoja tuone bwashee!Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu
NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
NEC, Ndugai na Mwendazake wameacha najisi kubwa kwa taifa...Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amesema ni miezi 5 imepita tangu amwandikie mkurugenzi wa uchaguzi NEC akitaka kujua ni nani alipeleka orodha ya majina ya akina Halima Mdee na wenzake na form zao zilisainiwa na nani pahala alipotakiwa kusaini Katibu mkuu.
J J Mnyika anashangazwa sana na ukimya wa NEC ambao walipokea barua yake tangu 27/11/2020
Ikumbukwe hapa tarehe 10/05/2021 Bawacha wanatimba bungeni kwenda kuwafurusha akina Halima Mdee na wenzake.
Kazi Iendelee!
ukihukumiwa na mahakama ukakata rufaa hutatumikia adhabu yako mpaka rufaa isikilizwe?MNYIKA ACHA UBABAISHAJI ITISHA MKUTANO WA BARAZA KUU UTOE MAAUMUZI MBONA UNAKWEPA?
Kutoshtakiwa baada ya kustaafu sio kwa sasa ila kwa hili CDM wameonesha udhaifu mkubwa sana kama chama. Mtu mmoja anatingisha chama kikubwa cha upinzani.Ndiyo maana Ndugai alijiwekea kinga ya kutoshitakiwa
na ni KADA mwaminifu wa Chama chetu cha Mapinduzi - kadi yake ni ya mwaka 1977 kwa kuwakumbusha tu.Mwenyekiti wa NEC ni Jaji mstaafu!
Wafanyaje dola ipo chini ya CCM yote, mbona dikteta alitisha mpaka kwenye CCM?Kutoshtakiwa baada ya kustaafu sio kwa sasa ila kwa hili CDM wameonesha udhaifu mkubwa sana kama chama. Mtu mmoja anatingisha chama kikubwa cha upinzani.
Hahahaaaa....... Office management Msimbazi centre!Despatch ya NEC inatunzwa na ofisi ya CHADEMA? MPUUZI MKUBWA
Makada wa CCM wamejaa NECna ni KADA mwaminifu wa Chama chetu cha Mapinduzi - kadi yake ni ya mwaka 1977 kwa kuwakumbusha tu.
Ukome ndiyo maana umefukuzwa makao makuuHahahaaaa....... Office management Msimbazi centre!
Chama cha siasa sio mahakama kinaenda kwa katiba yake. Taratibu zake ziko tofauti na mahakama. Wamekata rufaa baraza kuu itisheni baraza kuu. Msijilinganishe na mahakama. Nyie sio mahakamaukihukumiwa na mahakama ukakata rufaa hutatumikia adhabu yako mpaka rufaa isikilizwe?