Mnyika: Ni miezi 5 sasa NEC hawajajibu barua yangu kuhusu walikopata majina ya Wabunge 19 na nani amesaini fomu zao

Mnyika: Ni miezi 5 sasa NEC hawajajibu barua yangu kuhusu walikopata majina ya Wabunge 19 na nani amesaini fomu zao

Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu

NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
 
MNYIKA ACHA UBABAISHAJI ITISHA MKUTANO WA BARAZA KUU UTOE MAAUMUZI MBONA UNAKWEPA?
 
Nchi ilikuwa imefikia pabaya mno - yaani hata hawa NEC nao walikuwa ni tawi la CCM... ukiona nchi inafanya mambo kama haya ya fojare kiasi hiki basi ujue huna kiongozi mkuu hapo.
 
Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu

NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
Hii ni awamu ya 6 ngoja tuone bwashee!
 
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amesema ni miezi 5 imepita tangu amwandikie mkurugenzi wa uchaguzi NEC akitaka kujua ni nani alipeleka orodha ya majina ya akina Halima Mdee na wenzake na form zao zilisainiwa na nani pahala alipotakiwa kusaini Katibu mkuu.

J J Mnyika anashangazwa sana na ukimya wa NEC ambao walipokea barua yake tangu 27/11/2020

Ikumbukwe hapa tarehe 10/05/2021 Bawacha wanatimba bungeni kwenda kuwafurusha akina Halima Mdee na wenzake.


Kazi Iendelee!
NEC, Ndugai na Mwendazake wameacha najisi kubwa kwa taifa...
Hili litachukua muda kufutika kwani mbegu ovu waliyoipanda na ikaanza kumea tunavuna matunda yake...
Kuna aibu inakuja...
 
Kutoshtakiwa baada ya kustaafu sio kwa sasa ila kwa hili CDM wameonesha udhaifu mkubwa sana kama chama. Mtu mmoja anatingisha chama kikubwa cha upinzani.
Wafanyaje dola ipo chini ya CCM yote, mbona dikteta alitisha mpaka kwenye CCM?
 
ukihukumiwa na mahakama ukakata rufaa hutatumikia adhabu yako mpaka rufaa isikilizwe?
Chama cha siasa sio mahakama kinaenda kwa katiba yake. Taratibu zake ziko tofauti na mahakama. Wamekata rufaa baraza kuu itisheni baraza kuu. Msijilinganishe na mahakama. Nyie sio mahakama
 
Back
Top Bottom