Jiandaeni kurudi NCCR ama TLP - mambo ya fujo na siasa za ubaguzi kafanyieni huko CDM hayana nafasi.Hakunaga mwenye Njaa hapo Chadema kama Mbowe hadi akaandamana na Bint yake kutetea Mkate ππ
Wenye Fweza akina Rostam Aziz na Mo Dewji waliingia bungeni wakaseti mitandao Wakasepa sasa wanaajiri tu Wabunge wa kusukuma agenda zao Kwenye Mfumo ππππ
Happy New Year π
Na Yeye ajiandae kurudi St Peters πJiandaeni kurudi NCCR ama TLP - mambo ya fujo na siasa za ubaguzi kafanyieni huko CDM hayana nafasi.
Na waambie hao vinara wenzenu - WANAPIGWA asubuhi saana.
lile bango la maridhiano la ccm linaonesha chadema hii ya mbowe ni tawi la ccm, haipendezi kwa kweliMbowe kuwa tena mwenyekiti ni kuifanya Chadema kuwa kigango cha CCM, hii hakubaliki hata kigogo .
Ooh kumbe! Mungu ana namna yake ya kufanya kazi kweli. Na kwa hakika, siku hiyo Chama kinaenda kuzaliwa upya. Kutoka chama kinachofanya kazi kwa niaba ya dola, kuwa chama rasmi cha Upinzani.Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema tarehe 21 January 2025 ni zaidi ya Uchaguzi kwani ndio Chadema Day
Mnyika amesema tarehe 21 January 1993 Chadema ilipata Usajili kamili hivyo 2025 inazaliwa upya na kuwa STRONGER TOGETHER
Ahsanteni Sana
Nawatakia Dominica NJEMA πΉ
Mnyika ni team lissu ila anajikausha tu.Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema tarehe 21 January 2025 ni zaidi ya Uchaguzi kwani ndio Chadema Day
Mnyika amesema tarehe 21 January 1993 Chadema ilipata Usajili kamili hivyo 2025 inazaliwa upya na kuwa STRONGER TOGETHER
Ahsanteni Sana
Nawatakia Dominica NJEMA πΉ