Uchaguzi 2020 Mnyika: Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mchezo wa kuvuruga Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Mnyika: Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mchezo wa kuvuruga Uchaguzi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Katibu Mkuu wa CHADEMA leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge na Udiwani.​

Mnyika amesema kuwa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ambavyo Chadema inavyo ndani ya tume, mchezo ambao tume inafanya ni wa aina mbili:
1. kuchelewesha kutolea maamuzi ili watakaorudishwa wachelewe kampeni

2. Pili ni kupoteza muda ili kupoza hasira za umma na hatimaye ibariki vitendo vya kidhalimu vya uengua wagombea bila kuwa na sababu za Msingi

Mnyika amemuandikia barua mkurugenzi wa NEC kumtaka arudishe wagombea wote wa CHADEMA mara moja.

Pia Mnyika ameendelea kuuumbusha umma kuwa matendo haya hovyo ya tume yanatokana na kuwa tume imejaa makada wa CCM kama vile mkurugenzi, na akauonya umma kuwa leo utambue sababu za kutaka tume huru ya uchaguzi.

Kwa habari zaidi, msikilize Mnyika hapa:

 
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUM
Katibu mkuu wa Chadema leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na udiwani...
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUMU TUME YA UCHAGUZIII??


MUMEANZA KULIALIA MAPEMA, SUBIRINI
 
Siku nchi hii ikiwaka moto Ccm ina lakujibu!
Hakuna mwana Ccm ataiona pepo Ccm hawana tofauti na interahamwe.

NEC imekua kama jumuia ya CCM.

kuna ushabiki na ukada wa kijinga ndani ya hiyo tume

Badala ya kutetea haki ya wananchi kuchagua na kuchaguliwa, NEC yenyewe inakuwa mshirika wa kuwanyima wananchi haki hii.

Ni aibu!
 
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUM
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUMU TUME YA UCHAGUZIII??


MUMEANZA KULIALIA MAPEMA, SUBIRINI
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.

Mnamo mwaka 1994 makaburu waliondolewa madarakani, kwahiyo TUDARAJA 'twake' tusimpe uhalali wa kulazimisha KUTAWALA watu kwa MKONO WA CHUMA.
 
Katibu mkuu wa Chadema leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na udiwani...
Kamwe huwezi kuiita tume ya taifa ya uchaguzi, bali hii ni tume ya taifa ya uchafuzi wa uchaguzi na wala si vinginevyo.
 
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.

Mnamo mwaka 1994 makaburu waliondolewa madarakani, kwahiyo TUDARAJA 'twake' tusimpe uhalali wa kulazimisha KUTAWALA watu kwa MKONO WA CHUMA.
Kwa mateso wafanyabishara wengi wa kati wanayopitia (tunayopitia) nchi hii ni mateso makali mno.

Natamani kusikia hakuna Ccm na haijawahi kuwepo ningekuwa nina nguvu hiki chama ningekifta na kukiondoa katika historia ya nchi hii chama cha ajabu na mateso kwa raia wake
 
Mnyika amemuandikia barua mkurugenzi wa NEC kumtaka arudishe wagombea wote wa Chadema mara moja.
Kwa hiyo hamtaki kufuata sheria kwenye kutekeleza wajibu unao wahusu. Sasa kwa akili za kawaida nani hasa hapa anataka kuanzisha vurugu kati ya CHADEMA kupitia katibu wake Mnyika na NEC!

Halafu bado mnang'ang'ana majukwaani eti watanzania wawaamini! Watanzania waleo wanapima kwa vigezo vyote nani wa kumkabidhi madaraka kwa kutafakari kwa makini kabisa. Watanzania ninawaamini hawawezi kufanya makosa.
 
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.

Mnamo mwaka 1994 makaburu waliondolewa madarakani, kwahiyo TUDARAJA 'twake' tusimpe uhalali wa kulazimisha KUTAWALA watu kwa MKONO WA CHUMA.
Kwahyo unayataka hayo makaburi, kumbe shida yako sio tume ya uchaguzi, kumbe wewe unashida na makaburiiii??

Usihofu utazikwa tuuu mama angu.
 
Kwa mateso wafanyabishara wengi wa kati wanayopitia (tunayopitia) nchi hii ni mateso makali mno.
Natamani kusikia hakuna Ccm na haijawahi kuwepo ningekuwa nina nguvu hiki chama ningekifta na kukiondoa katika historia ya nchi hii chama cha ajabu na mateso kwa raia wake
Moja ya mambo muhimu kubadilishwa endapo chama tofauti kitaongoza taifa hili ni kukifuta chama cha mapinduzi.
 
Maandalizi ya kusimikwa Serikali haramu yameanza rasmi.



Katibu mkuu wa Chadema leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na udiwani...
 
Magufuli anataka kubadili katiba kuondoa ukomo wa Rais.

Dalili ndio hizi za kupitisha wabunge wa CCM bila kupingwa.
Kujenga uwanja wa ndege na Ikulu Chato.

Asante Thinktank
Asante PENTAGON
 
Magufuli anataka kubadili katiba kuondoa ukomo wa Rais.

Dalili ndio hizi za kupitisha wabunge wa CCM bila kupingwa.
Kujenga uwanja wa ndege na Ikulu Chato.

Asante Thinktank
Asante PENTAGON
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.

Mnamo mwaka 1994 makaburu waliondolewa madarakani, kwahiyo TUDARAJA 'twake' tusimpe uhalali wa kulazimisha KUTAWALA watu kwa MKONO WA CHUMA.
 
"Nimekupa kazi.
Nimekupa gari nzuri
Nakupa posho.
Nakupa Mshahara
Alafu wewe unaenda kuwatangaza waponzani ii."

JIWE
 
Back
Top Bottom