Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kuna zaidi ya kulialia ilikutafuta huruma ya wanainchi eti munaonewaa? Ili wawape uraisi kama kifuta machozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna zaidi ya kulialia ilikutafuta huruma ya wanainchi eti munaonewaa? Ili wawape uraisi kama kifuta machozi?
Nyie shabikieni tu huu uharamia lakini mjue kikiwaka wote tutaathirika.KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUM
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUMU TUME YA UCHAGUZIII??
MUMEANZA KULIALIA MAPEMA, SUBIRINI
Hawa Ndugu kila siku ni kulia lia tu!KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUM
KAMPENI MSHINDWE WENYEWE HALAFU MUILAUMU TUME YA UCHAGUZIII??
MUMEANZA KULIALIA MAPEMA, SUBIRINI
Hawa Ndugu Bureeee kabisa yani. Wao wanachojua ni uongo uongo tu!Kwa hiyo hamtaki kufuata sheria kwenye kutekeleza wajibu unao wahusu. Sasa kwa akili za kawaida nani hasa hapa anataka kuanzisha vurugu kati ya CHADEMA kupitia katibu wake Mnyika na NEC!
Halafu bado mnang'ang'ana majukwaani eti watanzania wawaamini! Watanzania waleo wanapima kwa vigezo vyote nani wa kumkabidhi madaraka kwa kutafakari kwa makini kabisa. Watanzania ninawaamini hawawezi kufanya makosa.
Kwanini mnapenda kuhimiza Vurugu na machafuko? Msingizia jembe sio Mkulima.CCM ni wepesi sana bila msaada wa hiyo Tume na pia wale jamaa zetu wa kanda maalum.
Badala ya kupiga kampeni wao wamekomaa na uzushi na uongoKwanini mnapenda kuhimiza Vurugu na machafuko? Msingizia jembe sio Mkulima.
Kwanini mnapenda kuhimiza Vurugu na machafuko? Msingizia jembe sio Mkulima.
Wewe Bwana acha Uongoo!Katibu Mkuu wa CHADEMA leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge na Udiwani.
Mnyika amesema kuwa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ambavyo Chadema inavyo ndani ya tume, mchezo ambao tume inafanya ni wa aina mbili:
1. kuchelewesha kutolea maamuzi ili watakaorudishwa wachelewe kampeni
2. Pili ni kupoteza muda ili kupoza hasira za umma na hatimaye ibariki vitendo vya kidhalimu vya uengua wagombea bila kuwa na sababu za Msingi
Mnyika amemuandikia barua mkurugenzi wa NEC kumtaka arudishe wagombea wote wa CHADEMA mara moja.
Pia Mnyika ameendelea kuuumbusha umma kuwa matendo haya hovyo ya tume yanatokana na kuwa tume imejaa makada wa CCM kama vile mkurugenzi, na akauonya umma kuwa leo utambue sababu za kutaka tume huru ya uchaguzi.
Kwa habari zaidi, msikilize Mnyika hapa:
Badala ya kupiga kampeni wao wamekomaa na uzushi na uongo
Wewe Bwana acha Uongoo!
NEC haiamuliwi mambo yake na mtu wala Chama.
Mnyika ni nani aiagize NEC?
Kwa jinsi mchakato wa Uchaguzi ulivyo sioni kama unashida, maana kuna chama kimesema nacho kina Makada ndani ya TUME 😀Yaani hayo unayoyaandika kama uchaguzi / uchafuzi umeanza mwaka huu Tanzania.
Kwa jinsi mchakato wa Uchaguzi ulivyo sioni kama unashida, maana kuna chama kimesema nacho kina Makada ndani ya TUME 😀
Muda wanaotumia kuishambulia TUME ni mwingi kuliko wanaotumia kutangaza sera.Badala ya kupiga kampeni wao wamekomaa na uzushi na uongo
Kwanini mnapenda kuhimiza Vurugu na machafuko? Msingizia jembe sio Mkulima.
Point of correction, sio Mgombea wa CCM ni Rais wa JMT na kwa nyongeza tu Tume inafanya kazi kwa Mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo ambayo vyama vyote vya siasa vilishirikishwa.Hicho chama kilichosema hivyo ni chama gani wakati Tume imechaguliwa na Mgombea kutoka CCM ??
Swala sio Chama fulani, swala ni kwamba unauwezo wa kuipeleka nje ya nchi familia yako machafuko yakitokea?Lengo ni kutaka chama chako cha ccm kitoke madarakani. Una swali lingine?
Point of correction, sio Mgombea wa CCM ni Rais wa JMT na kwa nyongeza tu Tume inafanya kazi kwa Mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo ambayo vyama vyote vya siasa vilishirikishwa.