Uchaguzi 2020 Mnyika: Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mchezo wa kuvuruga Uchaguzi

Hawa Ndugu Bureeee kabisa yani. Wao wanachojua ni uongo uongo tu!
Hamna mgombea zaidi ya utapeli hapo
 
Wewe Bwana acha Uongoo!
NEC haiamuliwi mambo yake na mtu wala Chama.
Mnyika ni nani aiagize NEC?
 
Kuna watu wanaongea vitu wasivyovijua kuhusu TUME, kuthibisha hilo naomba ajitokeze wa kueleza kura zinaweza kuibiwa vip katika mchakato wa kupiga na kuhesabu kura?
 
Kwahyo Mnyika unataka kutuambia kuwa Wagombea wanaorudshwa kwenye kinyang'anyiro ni kwa sababu umemuandkia Mkurugenzi NEC barua. Tume inafata sheria kwahyo utaratibu wa kushughulikia rufaa upo kisheria..!
 
Yaani hayo unayoyaandika kama uchaguzi / uchafuzi umeanza mwaka huu Tanzania.
Kwa jinsi mchakato wa Uchaguzi ulivyo sioni kama unashida, maana kuna chama kimesema nacho kina Makada ndani ya TUME 😀
 
Kwa jinsi mchakato wa Uchaguzi ulivyo sioni kama unashida, maana kuna chama kimesema nacho kina Makada ndani ya TUME 😀


Hicho chama kilichosema hivyo ni chama gani wakati Tume imechaguliwa na Mgombea kutoka CCM ??
 
Hicho chama kilichosema hivyo ni chama gani wakati Tume imechaguliwa na Mgombea kutoka CCM ??
Point of correction, sio Mgombea wa CCM ni Rais wa JMT na kwa nyongeza tu Tume inafanya kazi kwa Mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo ambayo vyama vyote vya siasa vilishirikishwa.
 
Point of correction, sio Mgombea wa CCM ni Rais wa JMT na kwa nyongeza tu Tume inafanya kazi kwa Mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo ambayo vyama vyote vya siasa vilishirikishwa.


Kumbe Mgombea wa CCM si Rais wa TZ ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…