Swala sio Chama fulani, swala ni kwamba unauwezo wa kuipeleka nje ya nchi familia yako machafuko yakitokea?
Gavana mbona tulikua tunaenda vizuri sasa umeanza kuharibu tena kwa kuuliza maswali ambayo hayana maana?.Kumbe Mgombea wa CCM si Rais wa TZ ??
Gavana mbona tulikua tunaenda vizuri sasa umeanza kuharibu tena kwa kuuliza maswali ambayo hayana maana?.
Kwa msaada tu naomba rejelea Ibara ya 74 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977.
Tate Mkuu huyajui machafuko yale yana athari kila upande bila kujali mlengo wa Chama. Ni ushauri wangu kwako kuilinda hii amani siasa isitufanye mimi na wewe kutazamana kwa namna ya tofauti.Hayo machafuko yatakapotokea, unadhani watakao ikimbia nchi ni mimi na familia yangu au ni nyinyi wahujumu uchumi wa ccm!
Ni Rais wa JMTJibu swali kwanza
Kumbe Mgombea wa CCM si Rais wa TZ ??
Tate Mkuu huyajui machafuko yale yana athari kila upande bila kujali mlengo wa Chama. Ni ushauri wangu kwako kuilinda hii amani siasa isitufanye mimi na wewe kutazamana kwa namna ya tofauti.
Hapa sikubaliani na wewe kiongozi manake wewe Kama kiongozi unasema mambo ambayo hata uthibitisho huna napata mashaka na maandalizi yenu ya kampeni kila siku tunaona kwenye vyombo vya habari ikitoa taarifa za rufaa ambazo zimefanyiwa kazi. Kimsingi Tume inafanya kazi kwa kufuata Sheria na zile rufaa zinafuata mchakato wa kisheria sasa ukitaka Tume ifanye kazi kwa mihemko na vitisho Kama za kwako Kuna wagombea hawatatendewa haki na mtaanza kulalamika ingekua Tume wametulia tu hawafanyi kazi sawa lakini sisi wananchi tunafuatilia kila siku tunaona Tume inatoa taarifa za rufaa. Usikaririshe wanachama wenu kulalamika hata pasipo na hoja zenye mashiko kwa kweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Tume inapambana labda Kama ungekua na busara ungewashauri positively sio kudanganya kuwa eti Tume ina mpango wa kuvuruga uchaguzi wakati mpaka sasa mchakato unaoendelea ni kazi nzuri iliyofanywa na Tume.Katibu Mkuu wa CHADEMA leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge na Udiwani.
Mnyika amesema kuwa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ambavyo Chadema inavyo ndani ya tume, mchezo ambao tume inafanya ni wa aina mbili:
1. kuchelewesha kutolea maamuzi ili watakaorudishwa wachelewe kampeni
2. Pili ni kupoteza muda ili kupoza hasira za umma na hatimaye ibariki vitendo vya kidhalimu vya uengua wagombea bila kuwa na sababu za Msingi
Mnyika amemuandikia barua mkurugenzi wa NEC kumtaka arudishe wagombea wote wa CHADEMA mara moja.
Pia Mnyika ameendelea kuuumbusha umma kuwa matendo haya hovyo ya tume yanatokana na kuwa tume imejaa makada wa CCM kama vile mkurugenzi, na akauonya umma kuwa leo utambue sababu za kutaka tume huru ya uchaguzi.
Kwa habari zaidi, msikilize Mnyika hapa:
Rais wa JMTNa TUME YA UCHAGUZI aliichaguwa nani vile ??
Sasa jamani Uchaguzi ukiendeshwa wanavyotaka kwamba mgombea hana sifa hajui kusoma wala kuandika, hajui kuandika hata tarehe yake ya kuzaliwa, huo utakua Uchaguzi au mkutano wa Chadema maana tunajua huko Chadena tunajua anachosema mzee wa Bilicanas hakipingwi.Katibu Mkuu wa CHADEMA leo tarehe 14, aneongea na waandishi wa habari na kuwajulisha kuhusu hali ya kuenguliwa kwa wagombea wao kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge na Udiwani.
Mnyika amesema kuwa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ambavyo Chadema inavyo ndani ya tume, mchezo ambao tume inafanya ni wa aina mbili:
1. kuchelewesha kutolea maamuzi ili watakaorudishwa wachelewe kampeni
2. Pili ni kupoteza muda ili kupoza hasira za umma na hatimaye ibariki vitendo vya kidhalimu vya uengua wagombea bila kuwa na sababu za Msingi
Mnyika amemuandikia barua mkurugenzi wa NEC kumtaka arudishe wagombea wote wa CHADEMA mara moja.
Pia Mnyika ameendelea kuuumbusha umma kuwa matendo haya hovyo ya tume yanatokana na kuwa tume imejaa makada wa CCM kama vile mkurugenzi, na akauonya umma kuwa leo utambue sababu za kutaka tume huru ya uchaguzi.
Kwa habari zaidi, msikilize Mnyika hapa:
Thibitisheni malalamiko yenu kwani mahakama hamzioni?Hakuna Mtanzania nikiwemo mimi, asiyependa amani. Tunachotaka ni serikali kutenda haki kwa raia wote. Ukosefu wa haki unaofanywa na serikali ya ccm ndiyo unaotufanya wapenda mabadiliko tuiombee njaa.
LOGIC!!!Kwanza Mnyika anasema amepata habari kutoka kwenye vyanzo vyake ndani ya Tume, unadhani hivyo vyanzo sio makada wa Chadema? Kwa hiyo mimi hapo naweza kusema kwamba Tume ina makada wa Chadema, unadhani nitakuwa nakosea? Je kama yeye ana watu wake na anaona ni sawa wakiwa ndani ya Tume, kwanini analalamikia wale anaowahisi kwamba ni ma kada wa upande wa pili? Two wrongs don't make a right. Halafu Mnyika asitake kuwafanya watu wajinga, yani huwezi kusema eti warudishwe wote regardless kwamba hawana sifa? Hilo haliwezi kutokea na kwa taarifa yake Uchaguzi utaisha na amani ya nchi hii itaendelea kuwepo.
Thibitisheni malalamiko yenu kwani mahakama hamzioni?
Kokote ntakakoona inafaa kama ya jecha, maalim seif au Prof. Ibrahim Juma!Mahakama ya Jecha ??
Kokote ntakakoona inafaa kama ya jecha, maalim seif au Prof. Ibrahim Juma!
Sawa Mla kwato!Umeshiba pilau na soda ??? Itakuwa unavuta ile sigara kali ya Chato wakati huu hapo Lumumba