johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15
Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?
Ayo tv
Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?
Ayo tv