Mnyika unalalamika 'charge sheet' kutotaja kiasi cha pesa Mbowe alichofadhili ugaidi; hii ni sababu ya kutokuwa na hatia?

Mnyika unalalamika 'charge sheet' kutotaja kiasi cha pesa Mbowe alichofadhili ugaidi; hii ni sababu ya kutokuwa na hatia?

Nimesema futen vyama vya siasa tuwe na amani, watu na familia zao wanahangaika bila sabab ya maana
Lazima police na Mahakama watafutiwe shuguli ya kufanya. Na kwa kosa la Ugaidi kama vile mashehe wa Uamsho vyumba vimebaki wazi Segadansi, wawepo wakuvijaza .
 
Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.

Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.

Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.

My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Kiasi ni muhimu standard ni beyond reasonable doubt
 
Report ya TWAWEZA ilisema, CCM inapendwa na watu wasio na elimu, watu wajinga. Bila shaka, wewe ni miongoni.

Nitajie japo mtu mmoja tu ambaye ni CCM damu damu ambaye mwenye mawazo huru, na ambaye kwa matendo na kauli zake anaonekana ni super intelligent.
Ona ulivyo mjinga! CCM ndiyo inaongoza nchi wewe unawaona wajinga wakati wewe mwenye akili umeshindwa kuongoza nchi sasa hapo mwenye akili ni nani? Wewe unayepiga miayo kwenye mitandao au wale wanaoongoza nchi?
 
Mkuu mimi napenda nchi iwe na amani na kusiwe na uonevu kisa tofaut zetu kisiasa, tufute vyote kabisa ibaki CCM pekee kaz iendelee.... maana vyama vingi ni kuwapotezea polisi focus tu
Siasa ni sehemu ndogo sana ya amani
 
Kamanda punguza munkari usije ukapasuka bure, mbowe ana wanasheria wanaomtetea, watahoji mahakamani pindi ushahidi utakapoanza kutolewa.
Hao kina Mnyika wakae watulie wasije wakaingia kwenye hatia ya kuingilia mwenendo wa kesi iliyoko mahakamani.
Kesi za kubumba, zinatia najisi mahakama zetu.


Acheni upuuzi wa mwendazake!
 
Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.

Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.

Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.

My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Hivi unaelewa particulars zinazotakiwa kuwekwa kwenye charge sheet?
 
Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.

Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.

Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.

My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
TUMIA AKILI HATA ZA KUAZIMA HOJA HAPO NI MAPUNGUFU YA CHARGE SHEET au umetolewa UBONGO WOTE
20210716_160047.jpg
 
Ona ulivyo mjinga! CCM ndiyo inaongoza nchi wewe unawaona wajinga wakati wewe mwenye akili umeshindwa kuongoza nchi sasa hapo mwenye akili ni nani? Wewe unayepiga miayo kwenye mitandao au wale wanaoongoza nchi?
Hata Amin, pamoja na akili yake ndogo, elimu ndogo, alikuwa Rais wa Uganda, tena bila ya Tanzania, sijui angeondoka kwenye madaraka muda gani. Kutawala hakuna uhusiano na uwezo wa akili.
 
Mkuu mimi napenda nchi iwe na amani na kusiwe na uonevu kisa tofaut zetu kisiasa, tufute vyote kabisa ibaki CCM pekee kaz iendelee.... maana vyama vingi ni kuwapotezea polisi focus tu
Usijali,twende hivihivi.Naombea vizaliwe vyama vingine vitakavyokuwa vinasumbuliwa kama chadema.
Mwisho wa CCM hawatakuja kurudi kwenye mamlaka,Polisi hawatawatumikia miaka yote,Vijana wanaopewa nyota siku hizi ni damu nyingine.
 
Unakuwa mpumba.vu kama unamshtaki mtu kwa kosa ambalo hata wewe mwenyewe hujui kiwango cha uhalifu. Wapumb.avu wa namna wanapatikana ndani ya nchi yetu tu, na hasa ndani ya CCM maana huko hata TWAWEZA walisema, ndiko walikojaa.
Ni mpumbavu pekee ndiye anaeweza kuomba solid evidence (ushahidi wote) ilihali mtuhumia bado yupo rumande Ili kuruhu upelelezi zaidi ukamilike.

Yani unataka barua inayowekwa mitandaoni iambatanishwe na ushahidi wote wewe ni mahakama au? Ukitaka ushahidi wote subiria siku ya kesi uende mahakamani ukasilize.

Mnapenda kujifanya mnaijua kila kitu kuliko watu wote,ilihali mmejaza vinyesi tumboni.
 
Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.

Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.

Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.

My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Bladifaken
 
Hivi akina msigwa mpaka leo bado wako buzy kufuta legacy ya mwendazake
 
Kwani kutotaja figure ya pesa alizofadhili ndio hoja?

..nadhani anayo hoja.

..kwasababu sidhani kama sh 10 zinatosha kufadhili au kushawishi ugaidi.

..lazima kiasi cha fedha kielezwe na kiwe kina uthibitisho.
 
Kuna masuala ya ajabu sana huwa yanachanganya sana. Maana mwanasiasa ambaye ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kulalama huku akiwa hana hoja zenye mashiko ni kukosa busara.

Mnyika analalama kuwa Charge sheet ambayo ameshitakiwa nayo Mbowe haijataja figure kamili ya pesa ambazo Mbowe alizifadhili ili ugaidi kufanyika. Hivyo rais amfutie mashitak. Je, hoja kama kama hii ina mashiko? Huku ni kukuosa uelewa wa mambo.

Kutotaja kiasi cha pesa hakuondoi kosa la mshitakiwa kama Charge sheet inaeleza kwa ufahasa kifungu kilichovunjwa. Labda kama kungekuwa na mkankanyiko juu ya kosa husika na kiasi gani cha pesa kilichotumika.

My take: Viongozi wa Chadema wamekosa busara, hivyo wasilete papara kushughulikia masuala ya kisheria.
Chama Kikuu Cha Upinzani kipi?
 
Back
Top Bottom