Mnyika: Viongozi waliokimbilia nje ya nchi sasa warudi nyumbani suala lao lilikuwa katika ajenda za Maridhiano

Ninavyo wqjua wajua Lema na Lissu kwa kupenda pesa watakiwa wamechukia sana kuambiwa hivyo maana wazungu wameishagoma kutoa posho.
 
Biashsra ishaisha sasa ni asante mama, madai ya Katiba mpya sasa yatabakia kuwa ni ndoto
 
Muhuni huyo aliyekuzaa
 
Ahhh, soma na uelewe mantiki ya taarifa na maana ya maridhiano! Au unataka kumfufua aliyewatishia akujibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…