Mnyika: Viongozi waliokimbilia nje ya nchi sasa warudi nyumbani suala lao lilikuwa katika ajenda za Maridhiano

Mnyika: Viongozi waliokimbilia nje ya nchi sasa warudi nyumbani suala lao lilikuwa katika ajenda za Maridhiano

Ninavyo wqjua wajua Lema na Lissu kwa kupenda pesa watakiwa wamechukia sana kuambiwa hivyo maana wazungu wameishagoma kutoa posho.
 
Changudoa WA mzoga WA chato
1654782804043.jpeg
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Viongozi na wanachama wao waliokimbia nchi kwa sababu za kisiasa na kiusalama sasa warudi nyumbani baada ya Serikali kuwa imetoa tangazo bungeni.

Mnyika amesema suala la viongozi hao wakimbizi lilikuwa moja ya ajenda ya Maridhiano.

Mnyika amewataja Tundu Lissu, Lema na Wenje kuwa ni miongoni mwa walio nje ya nchi na Chama kitawaandikia rasmi kuwapa utaratibu wa kurejea nyumbani

Chanzo: ITV habari
Biashsra ishaisha sasa ni asante mama, madai ya Katiba mpya sasa yatabakia kuwa ni ndoto
 
Taarifa inafikirisha ikizingatiwa kuwa karibu viongozi wote hao walikuwa wagombea wa nafasi mbalimbali za kuchaguliwa na walifanya kampeni zao kwa usalama.

Warudi tu hawatakuwa na jipya kama hawataweka bayana ni kwa namna gani walitishiwa usalama wao, na nani, kwa sababu gani.

MAAMUZI YA KIPUUZI NA UHUNI
Muhuni huyo aliyekuzaa
 
Taarifa inafikirisha ikizingatiwa kuwa karibu viongozi wote hao walikuwa wagombea wa nafasi mbalimbali za kuchaguliwa na walifanya kampeni zao kwa usalama.

Warudi tu hawatakuwa na jipya kama hawataweka bayana ni kwa namna gani walitishiwa usalama wao, na nani, kwa sababu gani.

MAAMUZI YA KIPUUZI NA UHUNI
Ahhh, soma na uelewe mantiki ya taarifa na maana ya maridhiano! Au unataka kumfufua aliyewatishia akujibu?
 
Back
Top Bottom