johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hao wajumbe wa 2019 wanamfahamu TAL?Katibu mkuu wa CHADEMA mh John Mnyika anesema Wajumbe halali watakaopiga Kura Kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa na makamu wake ni wale waliochaguliwa kipindi hiki cha Uchaguzi kabla ya huo mkutano mkuu wa 21 January
Mfano mkoa wa Njombe haujafanya Uchaguzi wa mkoa hivyo Wajumbe wa 2019 wamekosa Uhalali wa kushiriki mkutano mkuu
Ahsanteni Sana
Nyama mtazikuta chini 😂
Katiba👌Mnyika acha uhuni 🤣🤣🤣
Kwa Sasa atapata 90%Katiba ingeruhusu wanachadema wote tupige kura mbowe asingepata hata 10%!.
Mnyika ametumwa na MboweKatibu mkuu wa CHADEMA mh John Mnyika anesema Wajumbe halali watakaopiga Kura Kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa na makamu wake ni wale waliochaguliwa kipindi hiki cha Uchaguzi kabla ya huo mkutano mkuu wa 21 January
Mfano mkoa wa Njombe haujafanya Uchaguzi wa mkoa hivyo Wajumbe wa 2019 wamekosa Uhalali wa kushiriki mkutano mkuu
Ahsanteni Sana
Nyama mtazikuta chini 😂
Mbowe anazidi kudhihirishia ulimwengu kuwa ni mfanyabishara wa siasa na si mwana siasa. kajiondoshea heshima yake yote mioyoni mwa watu,.Mnyika ametumwa na Mbowe
Ukweli kaharibu sn, sijui nini kimempata asee heshima yote imekataMbowe anazidi kudhihirishia ulimwengu kuwa ni mfanyabishara wa siasa na si mwana siasa. kajiondoshea heshima yake yote mioyoni mwa watu,.
Rasmi, hatma ya Mbowe imekuwa kama ya Mrema na Lipumba. From being one of the most respected politician to a power hungry lunatic.Ukweli kaharibu sn, sijui nini kimempata asee heshima yote imekata
Inaonekana Uenyekiti una hela fulani za bureRasmi, hatma ya Mbowe imekuwa kama ya Mrema na Lipumba.
Ni dambwe la kujipatia pesa za dezo.Inaonekana Uenyekiti una hela fulani za bure
Kila mtu anapambanaNi dambwe la kujipatia pesa za dezo.