Mbowe mjinga anataka awe m/kiti tena ili afanye yapi ambayo hakuyafanya?
Sana tu !Inaonekana Uenyekiti una hela fulani za bure
Umesema vema mkuu!sasa kama katiba yao inasema hivyo mnataka waende kinyume na katiba halafu muanze kuwasema vibaya?
Mbona hilo liko wazi, na ni suala la kikatiba? Yaani hapo ni sawa na kusema Lema asiingingie bungeni kipindi hiki kwa kuwa hajachaguliwa kuwa mbunge katika uchaguzi uliofanyika mara ya mwisho. Hilo nalo lina utata? Au mnataka vitu vilivyo dhahiri vionekane kuwa vina utata?Kwa utaratibu huu, TAL na Heche, wakaanzishe chama chao!
Vinginevyo wanakosa bara na Pwani!
Naona Lissu anawalaza na viatuHao wajumbe wa 2019 wanamfahamu TAL?
Kweli huoni ha wenyeviti vikao vya harusi misiba Huwa walewale Kila wakatiInaonekana Uenyekiti una hela fulani za bure
Chini ni wapi?Nyama mtazikuta chini
Ya Bakuli 😂Chini ni wapi?
250m /1200 😂😂😂Hiki ni pigo jingine jipya kwa jamaa wa clubhouse!!
Bora kuliko Lissu anatumika na Maria baada ya mchango wa gariMnyika ametumwa na Mbowe
je wewe unapiga kura ndani ya CDMWhy ? Ndio Katiba inasema hivyo ? Kama ndivyo sawa ila nadhani ingekuwa ni busara kurekebisha hicho kipengele ili kisilete sintofahamu...
“Justice must not only be done, but must also be seen to be done”.
Sawa dada anguBora kuliko Lissu anatumika na Maria baada ya mchango wa gari
Ndiyo maana Mr Mbowe hataki kuachiaKweli huoni ha wenyeviti vikao vya harusi misiba Huwa walewale Kila wakati
Hakunaga ukaguzi baada ya michango
HaswaSana tu !
Mambo ya fisiem haya walahiKatibu mkuu wa CHADEMA mh John Mnyika anesema Wajumbe halali watakaopiga Kura Kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa na makamu wake ni wale waliochaguliwa kipindi hiki cha Uchaguzi kabla ya huo mkutano mkuu wa 21 January
Mfano mkoa wa Njombe haujafanya Uchaguzi wa mkoa hivyo Wajumbe wa 2019 wamekosa Uhalali wa kushiriki mkutano mkuu
Ahsanteni Sana
Nyama mtazikuta chini 😂
Afu hana jpya kisiasa zaidiHaijalishi Iwe wajumbe wa mwaka jana au juzi tafadhali watuondolee dikteta uchwara king'ang'anizi wa madaraka mh nkurunzinza mugabe mbowe!
Ubaya haja lijua hilo bado ana ng'ang'ania tuTusubiri uchaguzi uishe halafu tuone Mbowe ataingia kwa gia gani ambapo WANACHADEMA watakuwa wanamsikiliza.
Ishu siyo kwamba watu wanamtaka Lisu kisa kumkomoa Mbowe, la hasha. Mbowe kachuja tu automatically! Hata akigombea mwanachama tofauti na Lisu bado atakubalika tofauti na Mbowe.
Kwani Mbowe hajifanyii self assessment?