Mnyika: Wananchi wanahitaji Katiba Mpya sasa

Mnyika: Wananchi wanahitaji Katiba Mpya sasa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.

Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
 
Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.
Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Source: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
tupe linki wengine hatuna simu zenye fm
 
Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.
Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Source: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
Very low . Yaani ujui katiba ya wananchi imefungiwa kabatini??
 
Hivi ukiacha Simba na Yanga ni jambo gani lingine linaweza kutuleta pamoja kama taifa na kuondoa uvyama!?

Maana kuna wakati unashindwa kuelewa Mtanzania anataka nini hasaa..
 
Umeuliza ni lini wananchi walitaka katiba mpya? Na mimi nakuuliza lile bunge la katiba lilikuwa bunge la bwana ako? Au ile rasimu ya kwanza na ya pili ya Warioba ilikuwa rasimu ya mumeo?
Bunge lilikuwa la wanasiasa siyo wananchi manka!
 
Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.
Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Source: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
Kwani ni lini watanzania walikubali Tozo mpya za miamala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wewe ni taahira mpaka usijue ni lini wananchi walisema wanataka katiba? Humjui Jaji Warioba, Samia Suluhu, Pole pole na wengineo? Bunge la katiba lilikuwa bunge la bibi yako? Rasimu ya Warioba ilikuwa rasimu ya hawala yako?
Inatosha[emoji1][emoji28][emoji2][emoji1241]
 
Back
Top Bottom