Mnyika: Wananchi wanahitaji Katiba Mpya sasa

Mnyika: Wananchi wanahitaji Katiba Mpya sasa

Comment yako sio hoja ya mleta mada. Hoja ya mleta mada ni kwamba ni lini wananchi walitaka katiba? Na mimi nimemjibu kwa kumshangaa na kumwuliza hawakumbuki wajumbe wa Bunge la katiba nikamtajia hadi majina yao na kumkumbusha kuwa rasimu ya Warioba haikuwa rasimu ya hawala yake ilikuwa ni rasimu iliyotokana na wananchi. Vipi na wewe hujanielewa?

Hakuna referendum yoyote iliyofanyika kuwauliza wananchi whether or not wanataka katiba mpya. Kilichofanyika ni Tume ya Judge Warioba kuiomba ile fraction ndogo ya wananchi waliyoweza kuifikia iseme kile ilichotaka katiba mpya ikibebe. Even if, by inference, hiyo fraction ndogo ya wananchi ilisema inataka katiba mpya, bado haifai kuifanya kuwa ndiyo kauli ya wananchi takribani 60 million au kauli ya angalau majority ya wananchi wa Tanzania!
 
Hakuna referendum yoyote iliyofanyika kuwauliza wananchi whether or not wanataka katiba mpya. Kilichofanyika ni Tume ya Judge Warioba kuiomba ile fraction ndogo ya wananchi waliyoweza kuifikia iseme kile ilichotaka katiba mpya ikibebe. Even if, by inference, hiyo fraction ndogo ya wananchi ilisema inataka katiba mpya, bado haifai kuifanya kuwa ndiyo kauli ya wananchi takribani 60 million au kauli ya angalau majority ya wananchi wa Tanzania!

..utaratibu ni ku-present katiba mpya kwa wananchi ili waikatae au waikubali.

..tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, na Jaji Warioba, zote ziliona ulazima wa Tz kuandika katiba mpya.
 
..utaratibu ni ku-present katiba mpya kwa wananchi ili waikatae au waikubali.

..tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, na Jaji Warioba, zote ziliona ulazima wa Tz kuandika katiba mpya.

Katiba mpya sio kitu kibaya, lakini huo utaratibu unaousema is a costly backward approach. Approach sahihi ni kuwauliza wananchi kwanza kwa referendum. Wakisema “Yes”, then unafanya kile ambacho Judge Warioba na Tume yake walikifanya.

Wananchi wakisema “No”, then biashara inaishia hapo; hakuna sababu tena ya tume fulani kuteketeza pesa za taxpayers!
 
Katiba mpya sio kitu kibaya, lakini huo utaratibu unaousema is a costly backward approach. Approach sahihi ni kuwauliza wananchi kwanza kwa referendum. Wakisema “Yes”, then unafanya kile ambacho Judge Warioba na Tume yake walikifanya.

Wananchi wakisema “No”, then biashara inaishia hapo; hakuna sababu tena ya tume fulani kuteketeza pesa za taxpayers!

..wakisema "yes" kwa referendum ya kwanza, itabidi uandae referendum ya pili kufahamu kama wanaikubali katiba pendekezwa.
 
..wakisema "yes" kwa referendum ya kwanza, itabidi uandae referendum ya pili kufahamu kama wanaikubali katiba pendekezwa.

Sio lazima; Bunge la Katiba (kama chombo cha kuwawakilisha wananchi) linaweza kuhitimisha hilo zoezi. After all the fine details (technical aspects) za katiba sio kitu ambacho mwananchi wa kawaida anaweza kuchangia meaningfully!

Remember, a referendum is an election unto itself. Kwa kawaida, kunakuwa na kambi mbili zinazotoana jasho kwa campaign kali, kila moja ikiinadi “Yes” au “No” inayoisimamia. Sio swala la kusema “Yes” au “No” tu. Vitu vikubwa na vya msingi lazima vinadiwe kwa kufafanuliwa vyema kwa voters. As a result, voters wanapiga kura wakiwa very well informed kuhusu uamuzi wanaoufanya.
 
Sio lazima; Bunge la Katiba (kama chombo cha kuwawakilisha wananchi) linaweza kuhitimisha hilo zoezi. After all the fine details (technical aspects) za katiba sio kitu ambacho mwananchi wa kawaida anaweza kuchangia meaningfully!

Remember, a referendum is an election unto itself. Kwa kawaida, kunakuwa na kambi mbili zinazotoana jasho kwa campaign kali, kila moja ikiinadi “Yes” au “No” inayoisimamia. Sio swala la kusema “Yes” au “No” tu. Vitu vikubwa na vya msingi lazima vinadiwe kwa kufafanuliwa vyema kwa voters. As a result, voters wanapiga kura wakiwa very well informed kuhusu uamuzi wanaoufanya.

..wananchi wanatakiwa waamue ktk hatua ya mwisho, kama wanaikubali, au kuikataa, katiba pendekezwa, ili kuepuka kupewa "mbuzi ktk gunia" / katiba wasiyoitaka.

..nadhani bunge la katiba liwe replaced na tume ya wataalam waliobobea ktk uandishi wa katiba ili kuepuka migogoro ya wanasiasa tuliyo-experience mwaka 2014.

..tume hiyo ikashaandika katiba then kuwe na referendum ambapo kutakuwa na kambi za "yes" vs "no" na wananchi watakuwa waamuzi wa mwisho kupitia sanduku la kura.
 
..wananchi wanatakiwa waamue ktk hatua ya mwisho, kama wanaikubali, au kuikataa, katiba pendekezwa, ili kuepuka kupewa "mbuzi ktk gunia" / katiba wasiyoitaka.

..nadhani bunge la katiba liwe replaced na tume ya wataalam waliobobea ktk uandishi wa katiba ili kuepuka migogoro ya wanasiasa tuliyo-experience mwaka 2014.

..tume hiyo ikashaandika katiba then kuwe na referendum ambapo kutakuwa na kambi za "yes" vs "no" na wananchi watakuwa waamuzi wa mwisho kupitia sanduku la kura.

Kikatiba, chombo chenye mamlaka ya kuamua (kwa sheria ya Bunge) utaratibu wa kufuata katika kufanya mabadiliko ya Katiba ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Unadhani ni kitu chepesi kiasi hicho kwa Bunge kuamua kujiondoa kwenye hiyo picha? At least hiyo ni kama ndoto kwa Bunge letu kufanya hivyo!
 
Kikatiba, chombo chenye mamlaka ya kuamua (kwa sheria ya Bunge) utaratibu wa kufuata katika kufanya mabadiliko ya Katiba ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Unadhani ni kitu chepesi kiasi hicho kwa Bunge kuamua kujiondoa kwenye hiyo picha? At least hiyo ni kama ndoto kwa Bunge letu kufanya hivyo!

..kwenye nchi nyingine inaweza kuwa vigumu.

..lakini kwa Tz inawezekana ukizingatia kwamba Rais ni mwenyekiti wa chama.
 
..kwenye nchi nyingine inaweza kuwa vigumu.

..lakini kwa Tz inawezekana ukizingatia kwamba Rais ni mwenyekiti wa chama.

Hapo sasa ni sawa na kupeleka kwa nyani kesi ya ngedere anayetuhumiwa kuvamia shamba la mtu la mahindi!
 
Wananchi tunataka katiba

Ushahidi ni huu ufuatao:

1)Tulishatoa maoni ya katiba
2)Tulipita kura kupitisha rasmu
3)Bunge la katiba lilifika hadi nusu

Documents zetu zipo,kura zetu zipo,hivi wewe na Suluhu mnaongea mavi gani hasa?
Mkuu bado tunakupenda . humu if hauko salama Sana kaka , tuchunge ndimi.
 
sasa kwanini mlisusa bunge la katiba?.

..CCM waliandika katiba pendekezwa na kilichobakia ilikuwa katiba hiyo kupigiwa kura na wananchi.

..hoja kwamba ukawa walisusia bunge la katiba haina mashiko kwasababu bunge hilo liliendelea na mchakato wa kuandika katiba.
 
..CCM waliandika katiba pendekezwa na kilichobakia ilikuwa katiba hiyo kupigiwa kura na wananchi.

..hoja kwamba ukawa walisusia bunge la katiba haina mashiko kwasababu bunge hilo liliendelea na mchakato wa kuandika katiba.
kwa hiyo anachokitaka mnyika na chama chake ni nini? Katiba waliyoisusa ikapigiwe kura na wananchi, au warudi tena bungeni kuijadili rasim ya walioba?
 
kwa hiyo anachokitaka mnyika na chama chake ni nini? Katiba waliyoisusa ikapigiwe kura na wananchi, au warudi tena bungeni kuijadili rasim ya walioba?

..na wanachopinga ccm ni nini?

..wanapinga hata katiba waliyoiandika wenyewe wakati wa bunge maalum?
 
..na wanachopinga ccm ni nini?

..wanapinga hata katiba waliyoiandika wenyewe wakati wa bunge maalum?
nitajie wapi rais Samia amesema amekataa hitaji LA katiba mpya?
 
Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.
Sisi wananchi hatujasema kuwa katiba ni hitaji letu kwa sasa, hilo ni hitaji lao wanasiasa.
Mahitaji yetu ya muhimu kwa sasa ni hali bora za maisha kwa kuboreshewa huduma za afya, maji, shule, barabara, masoko ya uhakika kwa mazao yetu, nk. Hao wanasiasa wakome kutulisha maneno yao na kuyafanya kuwa yetu.
 
Sisi wananchi hatujasema kuwa katiba ni hitaji letu kwa sasa, hilo ni hitaji lao wanasiasa.
Mahitaji yetu ya muhimu kwa sasa ni hali bora za maisha kwa kuboreshewa huduma za afya, maji, shule, barabara, masoko ya uhakika kwa mazao yetu, nk. Hao wanasiasa wakome kutulisha maneno yao na kuyafanya kuwa yetu.
Wanajisahau Sana.....

Sisi wananchi wala hatuihitaji hiyo katiba mpya.......

#KaziIendelee
 
Katibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.

Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
2013 to 2014 au ulikuwa bado hujazaliwa???
 
Back
Top Bottom