Designated
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 1,088
Huu msemo unatumika sana, lakini binafsi huwa siuelewi yani unamnyonga mtu halafu unampaje haki yake.
Naona kama msemo wa kinafiki. Wataalam hebu nisaidieni.
Naona kama msemo wa kinafiki. Wataalam hebu nisaidieni.