Picha nyingi za Diamondi huwa anapiga kwa pozi la kuonyesha "insecurity"...
KUna klitu kinamnyima confidence... Sijui ana at least manager wa kumsaidia maana amefanikiwa kupata international exposure sasa, lazima atumie vizuri nafasi hii, la sivyo atabaki kuwa wa bongo tu!
Congrats kijana ongeza bidii.
Sijui kwa nn watz mnamwona Diamond hajui kingereza ,wakati mastaa wote huongea nao kwa lugha hiyo hiyo tena vizuri tu..angalia clip akihojiwa na demu wa chriss brown karrueche kwenye red carpet ndio ujue alkua anaongea kabila ganiHilo nalo neno..
Sent from my iphone using jamii forum
Sijui kwa nn watz mnamwona Diamond hajui kingereza ,wakati mastaa wote huongea nao kwa lugha hiyo hiyo tena vizuri tu..angalia clip akihojiwa na demu wa chriss brown karrueche kwenye red carpet ndio ujue alkua anaongea kabila gani
Sijui kwa nn watz mnamwona Diamond hajui kingereza ,wakati mastaa wote huongea nao kwa lugha hiyo hiyo tena vizuri tu..angalia clip akihojiwa na demu wa chriss brown karrueche kwenye red carpet ndio ujue alkua anaongea kabila gani
Sijui kwa nn watz mnamwona Diamond hajui kingereza ,wakati mastaa wote huongea nao kwa lugha hiyo hiyo tena vizuri tu..angalia clip akihojiwa na demu wa chriss brown karrueche kwenye red carpet ndio ujue alkua anaongea kabila gani
mkuu mi naomba ufafanuzi wa HWF nikweli jina lipo ama halipo?
I don't need to because I'm not in the showbiz industry. And Nelly is a washed-up has-been, anyway.
But I get it why you folks think it's such a biggie.
We are all from the same shit brother,don't act as if you are coming from Hollywood and u er used to hanging around with super stars.At some point in your life it was a big deal to you too.
Halafu nyie ndio wale mnao piga picha na magari ya watu huko marekani halafu mnatuma Bongo mnasema ya kwenu na kuwa ni vitu vya kawaida huk😵vyooo kabisa.
I'm far from Hollywood you little punk.
Tout au contraire!
Kwanza ni nadra sana mimi kupiga picha. Pili, Marekani mtu kuwa na gari si jambo la ajabu. Idadi kubwa ya watu wana magari. Sasa kupiga picha na magari ya watu ni ushamba, kwa mtazamo wangu.
Sasa sijui unamwongelea nani hapo!
Hivi hawa wanaotengeneza hii bia yangu pendwa ya "Serengeti Platnum" wanamlipa kweli huyu mshiriki wa BET "Diamond Platnum", mana wamemwibia jina lake"? HOD hebu ongea na boss wako muwashitaki hawa watu wa SBL, mana wanapga hela sana kupitia kwa Jina "kubwa" la Boss wako.
Hongera ndugu Almasi ila chonde chondeeeee usije kutuambia Nelly alikutafuta red carpet mujifotoe na muombe hawara yako nae asikurupuke kuhusu hii picha maana caption zenye utata tumechoka hakawii "Nelly ahaha kumuomba babe ake apige nae picha".
Mmmmh ila hili nalo tunajipongeza mpaka dunia ya leo mweeee.
HONGERA.
Teh hakawii uyo kusema kaombwa collabo angepiga na huyu nae angesema wanampango wakurekodi muvi au... lol
Hongera Diamond........
Ulipendeza sana
Watu washauza sura na mastaa wakubwa kitambo ,leo hii ndomo kupiga picha na nelly bas anataka ndo iwe habar ya mjini