Mnyoosho unaendelea: Diamond ashinda tuzo African Achivers Awards usiku huu

Mnyoosho unaendelea: Diamond ashinda tuzo African Achivers Awards usiku huu

Hizo award bubu zinaitwa hahaha maana kila kukicha from no where inazuka nyingine! Anyway thats africa
 
Hizo award bubu zinaitwa hahaha maana kila kukicha from no where inazuka nyingine! Anyway thats africa
Duh! Awards Bubu?! Unaonaje ungesema hizi awards wewe binafsi huzifahamu badala ya kusema ni awards bubu? Nenda pale Kariakoo kaanze kuwauliza Wamachinga ikiwa wanaifahamu Harvard University!!!! Nenda pande za Mchikichini waulize ikiwa wanamfahamu Jack Ma mwenye utajiri wa takriban Sh.50 trilion!!! Niishie tu kusema kwamba, tuzo zingine ni za kishua ambazo hutakaa umsikie Adam Mchomvu akizitangaza kupitia Clouds FM!

Wakati nakuachia changamoto ya wewe kunitafutia article/web content yoyote kutoka kwenye worldwide respected source inayohusu KTMA ambayo sina shaka unaifahamu, kwanza jitulize hapa:
Tonye Rex Idaminabo, a 29 year-old Nigerian lawyer and entrepreneur, is the founder of African Achievers Awards, a set of annual awards bestowed on Africa's most accomplished achievers in politics, diplomacy and entrepreneurship. Now in its fourth year, the African Achievers Awards recognizes individuals and organizations that selflessly devote their time and talents toward improving Africa's international profile and building stronger, integrated communities in Africa. Previous recipients of the award have included Nobel Prize winner Archbishop Desmond Tutu, Zimbabwean businesswoman Divine Ndhlukula, the Kofi Annan Foundation and Nigerian media mogul John Momoh.
The fourth edition was recently held in Ghana at the Presidential Banquet Hall of the State House under the patronage of Ghana's President John Mahama. It was attended by several prominent African businessmen, celebrities and members of the diplomatic corps. I caught up with Rex, who spoke to me about the African Achievers Awards, his journey so far and his plans for the future.
More on Forbes
Ukiweka mkazo kwenye BOLD RED & BLUE ndipo unaweza kupata picha kuhusu hadhi ya hizo tuzo as compared na maelezo yako kwamba eti ni TUZO BUBU na kwa hakika, mwaka huu:
Mtanyooka.jpg
 
mbona wamenyoooka kotekote? kura za maoni wameshika mkia hakua mjanja angemtumia kiba amuombee kura teh teh teh teh sijui angekubari kuvaa gauni?
 
Duh! Awards Bubu?! Unaonaje ungesema hizi awards wewe binafsi huzifahamu badala ya kusema ni awards bubu? Nenda pale Kariakoo kaanze kuwauliza Wamachinga ikiwa wanaifahamu Harvard University!!!! Nenda pande za Mchikichini waulize ikiwa wanamfahamu Jack Ma mwenye utajiri wa takriban Sh.50 trilion!!! Niishie tu kusema kwamba, tuzo zingine ni za kishua ambazo hutakaa umsikie Adam Mchomvu akizitangaza kupitia Clouds FM!

Wakati nakuachia changamoto ya wewe kunitafutia article/web content yoyote kutoka kwenye worldwide respected source inayohusu KTMA ambayo sina shaka unaifahamu, kwanza jitulize hapa:
More on Forbes
Ukiweka mkazo kwenye BOLD RED & BLUE ndipo unaweza kupata picha kuhusu hadhi ya hizo tuzo as compared na maelezo yako kwamba eti ni TUZO BUBU na kwa hakika, mwaka huu:
View attachment 271163

Hahahahaaaaa...huyu naye ushamnyoosha kuvamia asoyajua...
Mkuu huwa na kukubali sana maana unajua kuwanyoosha majirani kwa Facts n Evidencs zilizoshiba hoja znajieleza zenyewe/self-explanatory points.
 
and the winner is..................DIAMOND PLATNUMMZZZZZZZZZZZZZ..A.A.A.Tuzo special ya heshimaaaaaaaaaaaaa

Nimeipenda iyo tuzo coz ni tuzo ya heshima, hawakuwa na haja ya kuhitaji kura za mashabiki ila kwa Africa nzima wakamuona diamond ndo anastahili, imenifanya nimuone diamond ni king of african artists,,, natamani niandike mengi ila nashindwa jamani, am happy,,,, keep it up our platinumz,,,

Hongera na kikwete kwa kupata tuzo ya kiongozi bora wa Africa,,
 
Duh! Awards Bubu?! Unaonaje ungesema hizi awards wewe binafsi huzifahamu badala ya kusema ni awards bubu? Nenda pale Kariakoo kaanze kuwauliza Wamachinga ikiwa wanaifahamu Harvard University!!!! Nenda pande za Mchikichini waulize ikiwa wanamfahamu Jack Ma mwenye utajiri wa takriban Sh.50 trilion!!! Niishie tu kusema kwamba, tuzo zingine ni za kishua ambazo hutakaa umsikie Adam Mchomvu akizitangaza kupitia Clouds FM!

Wakati nakuachia changamoto ya wewe kunitafutia article/web content yoyote kutoka kwenye worldwide respected source inayohusu KTMA ambayo sina shaka unaifahamu, kwanza jitulize hapa:
More on Forbes
Ukiweka mkazo kwenye BOLD RED & BLUE ndipo unaweza kupata picha kuhusu hadhi ya hizo tuzo as compared na maelezo yako kwamba eti ni TUZO BUBU na kwa hakika, mwaka huu:
View attachment 271163

Nakupendeaga hapo tu my chige upo na facts hadi raha, huwa hukurupuki kishabiki
 
Last edited by a moderator:
Hivi diamond hizo pesa za nauli mara south afrika mara nigeria nani anampa? nakumbuka swaiba yangu Juma Nature alichaguliwa kugombea tuzo Sweden nauli ya kwenda huko alikuwa hana ,, ilibidi tufanye harambee tumchangie nauli.
 
Duh! Awards Bubu?! Unaonaje ungesema hizi awards wewe binafsi huzifahamu badala ya kusema ni awards bubu? Nenda pale Kariakoo kaanze kuwauliza Wamachinga ikiwa wanaifahamu Harvard University!!!! Nenda pande za Mchikichini waulize ikiwa wanamfahamu Jack Ma mwenye utajiri wa takriban Sh.50 trilion!!! Niishie tu kusema kwamba, tuzo zingine ni za kishua ambazo hutakaa umsikie Adam Mchomvu akizitangaza kupitia Clouds FM!

Wakati nakuachia changamoto ya wewe kunitafutia article/web content yoyote kutoka kwenye worldwide respected source inayohusu KTMA ambayo sina shaka unaifahamu, kwanza jitulize hapa:
More on Forbes
Ukiweka mkazo kwenye BOLD RED & BLUE ndipo unaweza kupata picha kuhusu hadhi ya hizo tuzo as compared na maelezo yako kwamba eti ni TUZO BUBU na kwa hakika, mwaka huu:
View attachment 271163

Mkuu chige si kwa kunyoosha huku, maana umetumia nyundo ya kupasulia mawe kuua sisimizi. Watanyooka tu.
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda iyo tuzo coz ni tuzo ya heshima, hawakuwa na haja ya kuhitaji kura za mashabiki ila kwa Africa nzima wakamuona diamond ndo anastahili, imenifanya nimuone diamond ni king of african artists,,, natamani niandike mengi ila nashindwa jamani, am happy,,,, keep it up our platinumz,,,

Hongera na kikwete kwa kupata tuzo ya kiongozi bora wa Africa,,

Anastahili kilicho bora kabisa DIAMOND kwa Hustle zake
 
Hizo award bubu zinaitwa hahaha maana kila kukicha from no where inazuka nyingine! Anyway thats africa

Ata kupata zawadi bubu nayo mafanikio jmn kibakuli anazitafta kila kukicha, kaishia kulinda tembo mbugan
 
Mimi Simkubali Kabisa Huyu Mr.Domokapu.Coz Anauwezo Mkubwa Mitandaoni Kuliko Jukwaani.Na Hizi Tuzo Zake Horera Anazopewa Zinazihirisha Uwezo Wake Mdogo Alionao.Na Atapata Tuzo Nyingi Tu Mbovu Mbovu.
 
Back
Top Bottom