Mo akiacha Simba, he is just a rich guy with nothing

Mo akiacha Simba, he is just a rich guy with nothing

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short.
rules after wealth

1. Utajiri bila watu ni useless. (power)

Mo leo hii anakutana na raisi wa FIFA na CAF easily kisa simba,

Easy business due to simba.

Anafatiliwa in social media due to Simba

People look for him because of Simba

He is safe on streets because of Simba.

Rostam ana pesa ila kama kijini tu mtaani, life aipo fair kabisa.

AAny way
Mo is simba
He can't leave simba sc or else he will lose his aura.

His legacy of afterlife is in simba fans.

I am glad he respects that.
 
I will be short.
rules after wealth

1. Utajiri bila watu ni useless. (power)

Mo leo hii anakutana na raisi wa FIFA na CAF easily kisa simba,

Easy business due to simba.

Anafatiliwa in social media due to Simba

People look for him because of Simba

He is safe on streets because of Simba.

Rostam ana pesa ila kama kijini tu mtaani, life aipo fair kabisa.

AAny way
Mo is simba
He can't leave simba sc or else he will lose his aura.

His legacy of afterlife is in simba fans.

I am glad he respects that.
He is an opportunity seeker
 
bongo hivyo vyote avitusaidii sisi.
ache simba aone heshima yake ilipo
Kwani lazima usaidiwe na Mo? Si upite mtaani na bakuli?

1718166949498.png
 
Kwa hiyo Gharib wa GSM na Bakhresa kwa kuwa hawafuatiliwi katika social media (na pengine hawana hata account), ndio tuseme utajiri wao ni useless?
una utani ww, GSM yupo Midomoni kisa yanga. azam the same hizi team zinampa time, bongo kuwa na hela amna mtu a nakupa respect kama ashibi kwako
 
wewe imekusaidia nini hii?? possibly umejua since ww unamfatilia via simba.
huyu jamaa hana lolote bongo hapa bila simba. hata akifa atazikwa na wana simba. akiacha simba atazikwa amna mtu atajua
Hajanisaidia, na silalamiki maana sio wajibu wake, labda iwe hisani tu. Shida ipo kwako unayelalamika kuwa hasaidii na utajiri wake ni useless. Yaani asubuhi asubuhi umeshafungua uzi kulalamikia wanaume, halafu unataka usaidiwe! Fanya kazi
 
Watu mnaoitwa majina ya daniel, mchangie mada za mambo ya kidini tuu maana huku kwingine mbaonekana useless tuu.
Ukishakuwa tajiri tuu lazima utajulikana na watu wengi hao watu wakubwa anakutana nao vizuri tuu sio paka awe simba.
Mengi alimiliki timu gani? mbona alikuwa hakauki kwenye midomo ya watu.
We karushe chetezo tuu
 
Hajanisaidia, na silalamiki maana sio wajibu wake, labda iwe hisani tu. Shida ipo kwako unayelalamika kuwa hasaidii na utajiri wake ni useless. Yaani asubuhi asubuhi umeshafungua uzi kulalamikia wanaume, halafu unataka usaidiwe! Fanya kazi
Na unakuta asubuhi yote hii kakuta dukani hamna energy tofauti na mo energy ndo maana kammind.
 
Kwa hiyo Gharib wa GSM na Bakhresa kwa kuwa hawafuatiliwi katika social media (na pengine hawana hata account), ndio tuseme utajiri wao ni useless?
Kwa scenario ya mada GSM hafanani na Bakhresa, GSM sawa na MO na anafuatiliwa alichokosa ni Account ya social media tu.

Bakhresa Ana ushwishi kama MO, pia utakumbuka miaka ya nyuma kidogo watu wengi hawakumjua kabisa GSM ila baada ya yanga amekuwa na ushawishi kuzidi Bakhresa
 
una utani ww, GSM yupo Midomoni kisa yanga. azam the same hizi team zinampa time, bongo kuwa na hela amna mtu a nakupa respect kama ashibi kwako
Yes, GSM ndio hana haki ya kuongea kabisa 90% ya watanzania wamemju GSM baada ya kuingia kwenye mpila hapo before tulikuwa tunamjua wachache sana na sio kwa ukubwa. Mimi ilikuwa ukinitaji GSM akili intend kwenye GSM MALL ya PUGU ROAD ILE ila kwasasa ukinitajia GSM it sound different.
 
Kwa scenario ya mada GSM hafanani na Bakhresa, GSM sawa na MO na anafuatiliwa alichokosa ni Account ya social media tu.

Bakhresa Ana ushwishi kama MO, pia utakumbuka miaka ya nyuma kidogo watu wengi hawakumjua kabisa GSM ila baada ya yanga amekuwa na ushawishi kuzidi Bakhresa
Unakubaliana na mleta mada kuwa mo yuko simba kwa ajili ya umaarufu?
 
Back
Top Bottom