Mo akiacha Simba, he is just a rich guy with nothing

Mo akiacha Simba, he is just a rich guy with nothing

Ibrahimovic tumemjua baada ya kuwepo Chelsea pale.

Kwa hiyo siyo hoja. Hizo ni vehicles, alishakuwa ccm akawa maarufu hata kabla hajaingia Simba.
Simba nayo inamchango wake pia, lakni huwezi kusema is nothing sijui ninini.
 
Ibrahimovic tumemjua baada ya kuwepo Chelsea pale.

Kwa hiyo siyo hoja. Hizo ni vehicles, alishakuwa ccm akawa maarufu hata kabla hajaingia Simba.
Simba nayo inamchango wake pia, lakni huwezi kusema is nothing sijui ninini.
he is nothing. vitu vyote vya mo nimejua alivyo kuwa simba
 
Midomoni kwa wabongo kuna saidia nini?.Pesa zake ndio zinazomfanya azungumzwe.Ukiwa na pesa utazungumzwa na kupata heshima popote sio hadi umiliki timu.Wakina rostam hawana timu ila watu wengi wanamfahamu nakumheshimu.Hizo timu za waswaliki ni porojo tu za vijiwe vya kahawa.
bongo kuna watu wana pesa chafu awajulikani. wanatukanwa tu.

mimi na historia ya kupiga tajiri mchana tu kisa simjui kaingia site. piga mbwa. kesho ndo najua ni tajiri kaja na polisi mimi sipo. pesa zako bila fame ni fala tu kama wengine.
 
Kichwa kilichobakia Simba ni Mangungu tu!

Hii klabu inaendeshwa kiuni, yaani anajiteua na kujitangaza kama mwenyrkiti wa bodi akiwa CHUMBANI KWAKE!

Aibu sana hii kwa Simba.
tena anateua tena, via Instagram 😂. bila hata barua.

tajiri anazingua
 
I will be short.
rules after wealth

1. Utajiri bila watu ni useless. (power)

Mo leo hii anakutana na raisi wa FIFA na CAF easily kisa simba,

Easy business due to simba.

Anafatiliwa in social media due to Simba

People look for him because of Simba

He is safe on streets because of Simba.

Rostam ana pesa ila kama kijini tu mtaani, life aipo fair kabisa.

AAny way
Mo is simba
He can't leave simba sc or else he will lose his aura.

His legacy of afterlife is in simba fans.

I am glad he respects that.
Maskini huwa tuna mawazo kweli! Mbona Mzee Hamis Kilomoni hakuwa tajiri kisa Simba? Mbona hakuwa aliongea na viongozi wa CAF na FIFA kisa Simba? Maskini wenzangu tuchape kazi!!!
 
Ungeangalia source ya utajiri wake ni IPI Kama ni simba hapo I agree with you Ila Kama sio Simba the guy ,he can't go broke and he can leave simba sc easily

Ukitaka kujua mafanikio ya MTU yamebebwa na nini tazama chanzo chake kwanza that is way huwezi kumuangusha MTU Kama MO maana Kiroho ,kiakili, kiufahamu kote yupo vzr.
 
Back
Top Bottom