Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Elewa mantiki na wewe mashabiki wangapi kitaa walikuwa wanaijua hio Home Shopping CentreLabda kama umewajua juzi. Unaifahamu au walau umewahi kuisikia Home Shopping Centre?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa mantiki na wewe mashabiki wangapi kitaa walikuwa wanaijua hio Home Shopping CentreLabda kama umewajua juzi. Unaifahamu au walau umewahi kuisikia Home Shopping Centre?
Akiacha Simba leo au GSM akiacha yanga haiwezi kuwa sawa na kwabla wajajiingiza kwenye football, so hata wakiachana na football leo bado legacy ya football watabakinayo hadi uzee au kifo talking umaarufu nk.wewe imekusaidia nini hii?? possibly umejua since ww unamfatilia via simba.
huyu jamaa hana lolote bongo hapa bila simba. hata akifa atazikwa na wana simba. akiacha simba atazikwa amna mtu atajua
Yes, nakubaliananae.Unakubaliana na mleta mada kuwa mo yuko simba kwa ajili ya umaarufu?
Mafuta ya simba......acha nifanye kazi nikulishe na weweacha wivu, fanya kazi ulishe familia yako walau mboga mboga. Mtu mwenye utajiri wa Tsh. Trilioni 4 achukue nini kilichopo Simba?
nakupa pole sanaYes, nakubaliananae.
Nilidhani unakuja na hoja instead unaandika mipasho.nakupa pole sana
hoja ya nini na uelewa wako mdogo?Nilidhani unakuja na hoja instead unaandika mipasho.
You got stone-aged kind of thinking, i was here to enhance your thinking capacity but let me go.hoja ya nini na uelewa wako mdogo?
Jamaa kaandika utoto sana.Sema ndo hivyo wabongo wakishamiliki simu na bando full kupost mashudu.Watu mnaoitwa majina ya daniel, mchangie mada za mambo ya kidini tuu maana huku kwingine mbaonekana useless tuu.
Ukishakuwa tajiri tuu lazima utajulikana na watu wengi hao watu wakubwa anakutana nao vizuri tuu sio paka awe simba.
Mengi alimiliki timu gani? mbona alikuwa hakauki kwenye midomo ya watu.
We karushe chetezo tuu
Midomoni kwa wabongo kuna saidia nini?.Pesa zake ndio zinazomfanya azungumzwe.Ukiwa na pesa utazungumzwa na kupata heshima popote sio hadi umiliki timu.Wakina rostam hawana timu ila watu wengi wanamfahamu nakumheshimu.Hizo timu za waswaliki ni porojo tu za vijiwe vya kahawa.una utani ww, GSM yupo Midomoni kisa yanga. azam the same hizi team zinampa time, bongo kuwa na hela amna mtu a nakupa respect kama ashibi kwako
Bakhresa hayupo Simba wala Yanga heshima yake ipo wapi?bongo hivyo vyote avitusaidii sisi.
ache simba aone heshima yake ilipo
.
.Kwa scenario ya mada GSM hafanani na Bakhresa, GSM sawa na MO na anafuatiliwa alichokosa ni Account ya social media tu.
Bakhresa Ana ushwishi kama MO, pia utakumbuka miaka ya nyuma kidogo watu wengi hawakumjua kabisa GSM ila baada ya yanga amekuwa na ushawishi kuzidi Bakhresa
Asee Home Shopping Center niko Tunduru huko naisikia. Unatokea wapi kwanza?Elewa mantiki na wewe mashabiki wangapi kitaa walikuwa wanaijua hio Home Shopping Centre
Niko nchidachi waduduchi huku.. hiyo vita ya yukreni na Rasia nimeanza kuisikia jana jioniAsee Home Shopping Center niko Tunduru huko naisikia. Unatokea wapi kwanza?
Dude tunaongelea majority hapa hatukuongelei wewe, jifunze kuelewa context mbali na hapo washa TV uangalie Tamthilia.Asee Home Shopping Center niko Tunduru huko naisikia. Unatokea wapi kwanza?
Katika watanzania 60 Million wangapi walikuwa wanamkujua before na kwasasa baada ya kujiingiza kwenye football kati ya watanzania 60 Million wangapi wanamjua....Hivi huna munafikiri kwa ubongo au kuna kitu tofauti munatumia kufikiri..
Wabongo tupunguze mihemko. Watu wanamjua GSM tangu enzi za Home Shopping Center, tangu enzi anadhamini Majimaji ya Songea, labda huko kwenu ndio mmemjua kupitia Yanga.
Halafu kusema GSM ana ushawishi kupita Bakhresa unahitaji kujitoa akili kwanza.
Hakuna mtu asiyejulikana hata wewe wanakujua mtaani kwenu. Mo, gsm, manji, bakhresa wapo kwenye vichwa vya wabongo kuliko matajiri wengine kama Ally awadh, kanabal, patel au yogesh na moja ya sababu ni hiyo hapo juu..
Wabongo tupunguze mihemko. Watu wanamjua GSM tangu enzi za Home Shopping Center, tangu enzi anadhamini Majimaji ya Songea, labda huko kwenu ndio mmemjua kupitia Yanga.
Halafu kusema GSM ana ushawishi kupita Bakhresa unahitaji kujitoa akili kwanza.
Kwanini na wewe mgogo usiwe mjanja unakuwa omba ombaMhindi ni mtu janja sana.