Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
he is nothing. vitu vyote vya mo nimejua alivyo kuwa simbaIbrahimovic tumemjua baada ya kuwepo Chelsea pale.
Kwa hiyo siyo hoja. Hizo ni vehicles, alishakuwa ccm akawa maarufu hata kabla hajaingia Simba.
Simba nayo inamchango wake pia, lakni huwezi kusema is nothing sijui ninini.
bongo kuna watu wana pesa chafu awajulikani. wanatukanwa tu.Midomoni kwa wabongo kuna saidia nini?.Pesa zake ndio zinazomfanya azungumzwe.Ukiwa na pesa utazungumzwa na kupata heshima popote sio hadi umiliki timu.Wakina rostam hawana timu ila watu wengi wanamfahamu nakumheshimu.Hizo timu za waswaliki ni porojo tu za vijiwe vya kahawa.
tena anateua tena, via Instagram π. bila hata barua.Kichwa kilichobakia Simba ni Mangungu tu!
Hii klabu inaendeshwa kiuni, yaani anajiteua na kujitangaza kama mwenyrkiti wa bodi akiwa CHUMBANI KWAKE!
Aibu sana hii kwa Simba.
watu kama awashibi kwako they don't care man.Jamaa kaandika utoto sana.Sema ndo hivyo wabongo wakishamiliki simu na bando full kupost mashudu.
mangungu ana sema mo anajitolea simba, πππ.MLIPENI MUDDY HELA ZAKE
Maskini huwa tuna mawazo kweli! Mbona Mzee Hamis Kilomoni hakuwa tajiri kisa Simba? Mbona hakuwa aliongea na viongozi wa CAF na FIFA kisa Simba? Maskini wenzangu tuchape kazi!!!I will be short.
rules after wealth
1. Utajiri bila watu ni useless. (power)
Mo leo hii anakutana na raisi wa FIFA na CAF easily kisa simba,
Easy business due to simba.
Anafatiliwa in social media due to Simba
People look for him because of Simba
He is safe on streets because of Simba.
Rostam ana pesa ila kama kijini tu mtaani, life aipo fair kabisa.
AAny way
Mo is simba
He can't leave simba sc or else he will lose his aura.
His legacy of afterlife is in simba fans.
I am glad he respects that.