Mo amenikumbusha Azim Dewji Simba vs Stella Abidjan!

Hahahaaaa..... Hawa watu siyo wa kuwaamini kabisa!
 
Mkuu hapo chai maharage ni zile canter zinazobeba abiria au chai na mandondo?
 
Hawa wafadhili wa timu wako kibiashara zaidi so wanaangalia mambo mengi lakini lililo kuu ni faida.

Wakati huu wa Covid-19 soka linaingiza hasara na mwekezaji hayuko kwa ajili ya SIFA bali yeye anaangalia FAIDA.

Niishie hapo!
Amefungwa Simba, anayehangaika ni utopolo[emoji44][emoji44]! Hii utaikuta Bongo tu!
 
Kwani Azim na Mo si mtu na uncle wake? Dugu moja
Mbinu zile zile.

Zamani:

Azim Dewji............................Simba

Abbas Gullamali.....................Yanga

Murtaza Dewji..........................Pan African

Saijudin Adamjee.......................Red Star

Patel Kaka...................................Tukuyu Stars

Shaffi Bora.....................................Majimaji

Kuna soka hapo bwashee au kamali?
 
Ok,we pesa za kuchezea si unazo?kawekeze mahala pasipo na faida.Kila siku Mo Mo tu halafu nyie hamtaki kuwekeza kwa hasara.

Ukijiona wewe ni Mama Huruma mwaga hela zako hovyo hovyo.
 
Wahindi aka Makanjibai wa kweli waliotoa hela zao mfukoni kwa nia ya kufadhili bila majungu,vijembe,manyanyaso wala majigambo ni wawili tuu, Marehemu Abbas Gulamali na Yusuph Manji tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gullamali alilia pale Uganda baada ya Yanga kukaza na kuifunga SC Villa wakatwaa kombe la cecafa.

Na hapo alikuwa kaahidi TV tu kwa kila mchezaji..........hahahaaaa!
 
Hizi kauli za Mo yupo kibiashara huwa zinachekesha, mlikutaka alete mapenzi kwenye pesa? Nyie mngeweza?!
 
Gullamali alilia pale Uganda baada ya Yanga kukaza na kuifunga SC Villa wakatwaa kombe la cecafa.

Na hapo alikuwa kaahidi TV tu kwa kila mchezaji..........hahahaaaa!
Acha uongo,mimi nilikuwa nae gulamali kwenye huo mchezo,huyo jamaa alikuwa ni mtu mwingine kabisa na kila alichoahidi alitimiza na zaidi ya hapo huo mchezo alihonga dola elfu kumi iki tushinde hiyo mechi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…