johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hawa wafadhili wa timu wako kibiashara zaidi so wanaangalia mambo mengi lakini lililo kuu ni faida.
Wakati huu wa Covid-19 soka linaingiza hasara na mwekezaji hayuko kwa ajili ya SIFA bali yeye anaangalia FAIDA.
Niishie hapo!
Wakati huu wa Covid-19 soka linaingiza hasara na mwekezaji hayuko kwa ajili ya SIFA bali yeye anaangalia FAIDA.
Niishie hapo!