ngulukizi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 619
- 1,749
Usishangae Wabongo wengi ni wajuaji Sana kila kitu wanajua waoAcha uongo,mimi nilikuwa nae gulamali kwenye huo mchezo,huyo jamaa alikuwa ni mtu mwingine kabisa na kila alichoahidi alitimiza na zaidi ya hapo huo mchezo alihonga dola elfu kumi iki tushinde hiyo mechi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app