October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Mo anatoa ushauri wa kufanikiwa kwa watu, watu wanamwambia yeye pesa kazikuta bana asilete ushauri wake hizo njia zisingefanya chochote angezaliwa kwa kina sisi.
Hawa matajiri kama MO hivi wakiletwa mtaani huku ataweza kuhaso kweli aje apewe mtaji wa 10,000/= nahiyo 10,000/= akafaiti mwenyewe kusukuma kokoteni je hizi falsafa zitawasaidia kweli.
Hawa matajiri kama MO hivi wakiletwa mtaani huku ataweza kuhaso kweli aje apewe mtaji wa 10,000/= nahiyo 10,000/= akafaiti mwenyewe kusukuma kokoteni je hizi falsafa zitawasaidia kweli.