Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,224
- 2,337
bilion mbili af mshua ana viwanda tayari wew ni kuinjekt tu hiyo capital.... Mzee ana viwanja kibao kat kaf ya mji na pori huko.... Af bado hawatumii cash zao wao ni kukopa tu sababu wana equity kubwa......Watu waliofanikiwa huwa wanawaona wenzao mambwiga sana,waliofanikiwa wanajifanya inspirations speaker sana,itikadi yangu kwamba siwaamini sana hawa na ushauri wao,matajiri wengi wamefanya figisu sana kupata mafaniko....sasa kama mshua alimpa zaidi ya bilioni 2 kama mtaji enzi hizo fursa kibao alitegemea angefeli? Yaani unapewa Bilioni 2 na baba halafu unajifanya ulihustle.
Hawa jamaa wazee wao walishawatengenezea system kubwa mno kwa wao kufeli katika one life