Nasisitiza tena umetudanganya.Ni graduate wa Harvard huyo, Microsoft na wenzake huko walitaka kumchukua akawapiga chini.... kwa uzalendo uliotukuka ili arudi kulitumikia Taifa lake.
Usiogope kuhusu mabilioni mkuu, ni dollar kadhaa tu hizo ambazo kwa huko ni wengi tu wanalipwa.... ila mchizi yeye katanguliza uzalendo mbele.
NB: Nilisikiliza akihojiwa na MillardAyo.
No ilikua $220,000 per year.Anaamini ndoto yake japo alikataa mshahara wa milioni 300+ kwa mwezi
Kwani CEO wa Google analipwa ngapi?No ilikua $220,000 per year.
Yaani apewe salary ya $130,000 per month(tsh 300mil),yaani alipwe pesa mingi kuliko CEO wa Google?NEVER
$1.85mil/year+other benefits.Kwani CEO wa Google analipwa ngapi?
Mengi aliharibu yeye mwenyewe kwa kuimuingiza kwenye system alizojenga yule slay queen kisa mahabaKama kurithi ni rahisi, uliza kampuni za Mengi zinavyoelekea kibra.
Watu waliofanikiwa huwa wanawaona wenzao mambwiga sana,waliofanikiwa wanajifanya inspirations speaker sana,itikadi yangu kwamba siwaamini sana hawa na ushauri wao,matajiri wengi wamefanya figisu sana kupata mafaniko....sasa kama mshua alimpa zaidi ya bilioni 2 kama mtaji enzi hizo fursa kibao alitegemea angefeli? Yaani unapewa Bilioni 2 na baba halafu unajifanya ulihustle.
bilion mbili af mshua ana viwanda tayari wew ni kuinjekt tu hiyo capital.... Mzee ana viwanja kibao kat kaf ya mji na pori huko.... Af bado hawatumii cash zao wao ni kukopa tu sababu wana equity kubwa......
Hawa jamaa wazee wao walishawatengenezea system kubwa mno kwa wao kufeli katika one life
Kuna mambo hayahitaji ujuaji sana.... Angalia takwimu za wanaofanikiwa from scratch na wanaofeli baada ya kuruthishwa miradi mikubwa sio hizi biashra ndogo ndogo.... Af pia nshu sio idea... Idea zimejaa kibao mtaani swali ni execution ya hiyo idea inatendeka vp..... Take mfano wa hizi ukwaju icerolli mbona kina mama kibao tu wanauza icecream shule zaidi ya tatu na hawajaweza kuuza kwa scale ya bakresawabongo bana: ingekua ivo sasa makampuni makubwa yasingekufa, biashara sio mtaji tu baba, afterall mtaji sio pesa: mtaji mkubwa ni wazo lako then ndo inafuata hela, wako wapo waliokua na mitaji mikubwa, unawakumbuka nakumat? alierithishwa mbna hajawa tajir?..... wabongo kazi tunayo
Kuna mambo hayahitaji ujuaji sana.... Angalia takwimu za wanaofanikiwa from scratch na wanaofeli baada ya kuruthishwa miradi mikubwa sio hizi biashra ndogo ndogo.... Af pia nshu sio idea... Idea zimejaa kibao mtaani swali ni execution ya hiyo idea inatendeka vp..... Take mfano wa hizi ukwaju icerolli mbona kina mama kibao tu wanauza icecream shule zaidi ya tatu na hawajaweza kuuza kwa scale ya bakresa
Kuna mambo hayahitaji ujuaji sana.... Angalia takwimu za wanaofanikiwa from scratch na wanaofeli baada ya kuruthishwa miradi mikubwa sio hizi biashra ndogo ndogo.... Af pia nshu sio idea... Idea zimejaa kibao mtaani swali ni execution ya hiyo idea inatendeka vp..... Take mfano wa hizi ukwaju icerolli mbona kina mama kibao tu wanauza icecream shule zaidi ya tatu na hawajaweza kuuza kwa scale ya bakresa
vitabu nshasoma vingi mno yani na hapa nilipo namaljzia memoir ya founder wa nike....π π π Mungu akusaidie tu ndo nnachoweza kusema, umeuliza swali na umeshajijibu: nakumbuka kipindi kabla sjaanza kufanya biashara maneno mengi nliskia sana, Ni Mungu alinipa tu moyo maaana watu hawaelewi nini kinahitajika katika biashara:
naomba uwe unasoma vitabu vingi sana vitakusaidia ufike mafanikio unayotaman
Hapo nakuunga mkono mkuu naimani ushasoma outliers cha malcom kama bado kitafutealafu kingine, ukiwa unafanya biashara hauangalii mwenzako amefanikiwa ama amefeli ndo ufanye, unatakiwa uwe unique kuanzia mawazo mpaka unachouza, nokia walianza kuuza simu wakafulia lakini haimaanishi simu zingine zisianzishwe kwa sababu nokia walifeli, kila mtu ana strategy na plan yake kutokana na Mungu atakavomsaidia: all in all Mungu akusaidie tu maaana una hali mbaya kimawazo
Kama kurithi ni rahisi, uliza kampuni za Mengi zinavyoelekea kibra.
Mengi fa*a tu naye, mpaka anakufa hakuwa ameweka mikakati ya nani atasimamia mali zile badala yake anamwachia yule slay queen kupitia majina ya watoto. Kwanini asingeweka misingi mizuri ya wanae wakubwa kusimamia zile mali badala yake anamoabidhisha mwanamke... K bhana inazuzuaga watu kweli.
stakehinh ni motuvation guru mi naona ngoja nikuache kwanza