Mo apata changamoto, Bakhresa atoa dau bilioni 25 kuinunua Simba SC

Status
Not open for further replies.
Kikosi kizima cha timu ya simba wakiwa katika ofisi za sportspesa jijini dsm.
 
Katika business tuache undugu, mwenye dau kubwa ndo apewe Mali. Mambo ya mwanachama sijui sio mwanachama ni ya kizamani. Mimi yanga damu lakini nimeona niongee kwenye hili..
 
Kwani Dau la MO ni shs ngapi? kwani hawawezi wakachukua MO asilimia 40 na Barhesa 40 na wapiga kelele wakapewa asilimia 20 kwani mpira siku hizi ni pesa.
Mawazo Kama Haya ndo tunayotaka..kwenye mpira wa sasa na sio fadhira sijui kaanza no tunataka mpira tuletee pesa
 
Magazeti ya leo yameletwa kwenu kwa hisani ya abbasfarudume:
 
Mkuu, Bakhressa ndio mmiliki wa makampuni ya SSB ikiwemo mpaka timu ya soka ya Azam,, hivyo kwa mujibu wa 'Club Licensing Regulations' haitakiwi mtu, taasisi au kampuni kuwa na umiliki wa zaidi ya timu moja ktk ngazi husika ya soka ktk nchi.
 
Huyo bakhressa alikuwa wapi siku zote abaki na Azam yake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…