darts
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 257
- 176
Atakuwa Salama kwanza Bakhresa ni Group of Company. So kule utakuwa ni azam na ana miliki mtoto wake huku atajua nani atakuwa Owner wa hiyo SIMBA.tofauti na Timu za majeshi unakuta mmliki ni mmoja .Japo nao ukizma sana kuna utofauti Polisi IPO kila mkoa. Waweza wakazisajiri kwa mikoa ndio ikawa miliki mfno.Polisa DsM ,mwanza etcSheria za FIFA sijui kama Bakhresa atakuwa Salama.