MO awapigia saluti yanga baada ya kutinga fainali

MO awapigia saluti yanga baada ya kutinga fainali

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Tajiri maneno awapigia yanga saluti baada ya kutinga fainali
Screenshot_20230517_224124_Twitter.jpg
 
Nasemajee, Simba sio Twanga Pepeta! Mwambieni huyo mama aende akawaongoze kina Ally Choki na Khalid Chokoraa, Sisi tunamtaka Chief Mungungu wa Msovero.!
 
Kanjibhai na mpira wapi na wapi. Anachojua ni kubana mpaka sh. 50 kwenye biashara baasi
 
Sikuzote ukiendesha gari rough road unaona upande wa pili ndo njia nzuri na nyepesi... pia the grass is always greener on the other side.!
mfano wako auhakisi nilichosema.
champions kuna visiki vingi lelemama afiki hata group stage sikwambii robo final.
 
yupo sahihi Utopolo hata mimi nawapongeza, ingawa mmepitia njia nyepesi tupu mpaka kufika final.
Hakuna njia nyepesi wewe. Sema umeamua kuita njia nyepesi kuufurahisha moyo wako. Unakutana na mtu amepata div 1 na wewe umepata 3 au four halafu unajitetea kwamba huyu kapata 1 kwa sababu kasoma shule ya private na mm 4 kwasababu nimesoma shule ya kata?
 
mfano wako auhakisi nilichosema.
champions kuna visiki vingi lelemama afiki hata group stage sikwambii robo final.
Bingwa wa cafcc 2022 alimfunga bingwa wa champions league 2022 na kubeba super cup !!!
 

Attachments

  • 6DAE1EB3-B487-49C8-9FCF-2B6552D22950.jpeg
    6DAE1EB3-B487-49C8-9FCF-2B6552D22950.jpeg
    179.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom